RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

Tembea acha kudanfanywa,wapemba na wachaga wameshika biashara za Dubai,kuleta Afrika.
Ww ndio unadanganywa nitajie makampuni ya wapemba na wachanga au viwanda vyao tatizo nyie ni washamba mkiwa na kiduka tu basi kelele nyingi mbona wenye viwanda na makampuni makubwa hawapigi kelele!!
 
Wanyantuzu ni wakatili kwenye mambo ya hela yaani kuna kisa jamaa walikuwa kwenye machimbo basi jamaa kitu kikatema aisee wanyantuzu walifunika juu wakamziba jamaa hewa akafa
Wachoji wale,sema na wanaamini sana uchawi.
 
Mm sipo ktk kabila lolote la tz wala africa ila ukweli ni kua uchumi wa tz upo mikononi mwa asian nyie wachaga sjui wakinga ndio punda kwenye kampuni za hao asian labda mnakuza uchumi kwa kua ndio watumwa
Na Wahindi wameigawana hii nchi, wanakula kwa kutulia tuli.

Dar es Salaam = Wote.

Dodoma, Kanda ya Kati = Gulamali.

Singida = Mo Dewji.

Morogoro = Abood.


Tanga = Binslum.

Shinyanga = Jambo Group.


Wengine enedeleeni kuuza bar, kuchoma kitimoto, na kuuza maduka mkiamini mnakuza uchumi.

Pumbavu zenu
 
Bro ishu sasa hiv ni bandari achana na propaganda za maccm. Huwez kutaja makabila 5 yenye kukuza uchumi ukasahau mhindi na mwarabu Mzee hizo ni sanaa za kututoa kwenye Mambo ya msingi.
 
huwezi lijua maana ha ta kusoma hujui na ina onyesha una kasilika kwa vitu visivyo kuwa na maana na wala haviwezi badili uhalisia wa maisha yako

Kama ulichoandika kipo sawa..kweli wewe na huyo mtaka sijui mataka mtakuwa kabila hilo la wajinga..japo sijawahi kulisikia ndo kwanza leo.
 
yani wewe haka kaujinga kana weza kuku toa kwenye mambo ya msingi?
 
Na hata katika Ukuaji wa Uchawi, Dhuluma na Ufisadi Makabila tajwa yanafanya vyema.
 
Halafu watu waksema Wazanzibar wanauza bandari, yeye na Chama Chake wanakuwa wa kwanza kulalamika kuwa watu wanaleta ubaguzi ili kutugawa.
Maana ya CCM siyo lazime iwe Chama Cha Maounga au Mapunguani, ila wao ndiyo wanaolazimisha kiwe na maana hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…