RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

Shida yako ni unafiki na kujipendekeza.... Sasa chato ikitangulia kuwa mkoa unapungukiwa nini..? Na itifaki gani kama sio chuki tu zisizo na sababu....
 

Mikoa iliyokaa vibaya kijiografia ni Morogoro, Tabora, Pwani na Lindi, hiyo ndiyo ingepewa kipaumbele kugawanywa
 
mara ya mwisho kwenda chato ilikua 2018 palikua pamechangamka , pamejengeka watu wanapachukulia poa chato ila ni pazuri, lakini sidhani kama kua mkoa ni chaguo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…