Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Shida yako ni unafiki na kujipendekeza.... Sasa chato ikitangulia kuwa mkoa unapungukiwa nini..? Na itifaki gani kama sio chuki tu zisizo na sababu....Hivi bado Kuna wakuu wa mikoa ambao wana hamu sana ya kupigwa mti kimasihara?
Unawezaje kuja na hayo mapendekezo?
Hivi tunajua gharama za kuanzisha mkoa mpya na kuuendesha?
Kabla ya Chato kuwa mkoa, nadhani uindwe kwanza hii mikoa.
1. Butiama.
2. Kisarawe.
3. Lupaso.
4. Msoga.
Itifaki ni muhimu kuzingatiwa kwanza.
Mkuu wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ombi la kuunda mkoa wa Chato likipita basu mkoa wa Geita utabakiwa na wilaya za Busanda, Nyang'wale na Geita yenyewe na Mbogwe
RC Rose amesema mkoa mpya wa Chato utapokea wilaya 1 kutoka Kigoma na 2 kutoka Kagera.
Kwa maana hiyo mkoa mpya wa Chato unaopendekezwa utakuwa na wilaya 5 ambazo ni Kakonko kutoka Kigoma, Bihalamuro na Ngara kutoka Kagera na Bukombe na Chato yenyewe kutoka Geita.
Source: ITV habari!
Kazi Iendelee
Umeongea fact mkuu....Lakini kwa upande wangu naona ni poa kabisa. Hizi wilaya japo juu ziko mbali sana na makao makuu ya mikoa iliyo. Mfano Ngara to Bukoba ni mbali uliko Ngara to chato. Kwa upande wangu naona imetulia tu.
Pombe regional administrative authorityMpeni meko. Si yupo chato
Hawajakatazwa!Mikoa iliyokaa vibaya kijiografia ni Morogoro, Tabora, Pwani na Lindi, hiyo ndiyo ingepewa kipaumbele kugawanywa
Sabaya..Pendekeza hapa jina la mkuu wa mkoa wa chato.
hata sasa hivi kakonko ni wilayaWilaya ya kakonko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa bwashee!mkoa wa chato utakua na makabila mseto hadi raha
Hatutaki kubadilishiwa mkoa siye! Tunataka maendeleo tyu[emoji849][emoji849]Kakonko hapana
Huyo atakuwa korokoroni..Sabaya..
Ahsante mkuu!hata sasa hivi kakonko ni wilaya
VipaumbeleHawajakatazwa!
Mh. MusukumaPendekeza hapa jina la mkuu wa mkoa wa chato.
BashiteHuyo atakuwa korokoroni..