Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Kama za Mkoa wa Mara zilivyokaliwa na wajaluo (Kenya) , Arusha wamasaai (Kenya) Mtwara na Lindi wamakonde (Nchumbiji) - Ruvuma wangoni na wayao (Malawi) - Kilimanjaro pia na Kagera upande wa mpakani na Uganda! Pia Mpanda,Katavi, Sumbawanga (Zambia) - Kigoma wamanyema (DRC).Hizo wilaya zinazounda mkoa wa Chato ni wilaya zilizokaliwa na warundi na wanyarwanda kuanzia Lafudhi hadi mila na desturi.
Bashiru ndio atafaa zaidiJ J Mnyika atatosha!
Lengo alipitisha mwendazake.. Alitaka mpaka Muleba iwe kwenye mkoa wa Chatoujinga mtupu Ujinga huo hauwezi kufanyika, hizi sasa si zama za JİWE
halafa sasa kwanini huo mkoa upewe jina la chato?
kwanini wasiupe jila la biharamulo?
Walioishia la saba watapeta sana..Mh. Musukuma
Waache upupu ...Mkuu wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ombi la kuunda mkoa wa Chato likipita basu mkoa wa Geita utabakiwa na wilaya za Busanda, Nyang'wale na Geita yenyewe na Mbogwe
RC Rose amesema mkoa mpya wa Chato utapokea wilaya 1 kutoka Kigoma na 2 kutoka Kagera.
Kwa maana hiyo mkoa mpya wa Chato unaopendekezwa utakuwa na wilaya 5 ambazo ni Kakonko kutoka Kigoma, Bihalamuro na Ngara kutoka Kagera na Bukombe na Chato yenyewe kutoka Geita.
Chanzo: ITV habari!
Kazi Iendelee
Chato ikiwa mkoa mwananchi wa kawaida anapata nini ..kama sio uninafsi tu ?Shida yako ni unafiki na kujipendekeza.... Sasa chato ikitangulia kuwa mkoa unapungukiwa nini..? Na itifaki gani kama sio chuki tu zisizo na sababu....
Twambie kamanda.unatesekea wap muda huu baada ya hyo taarifa.hahahahaujinga mtupu Ujinga huo hauwezi kufanyika, hizi sasa si zama za JİWE
halafa sasa kwanini huo mkoa upewe jina la chato?
kwanini wasiupe jila la biharamulo?
Huyo karudia kazi yake ya kuchunga mbuzi..Bashite
Yaani hadi wana JF mnamtosa Paschal kwenye mapendekezo yenu?Bashiru ndio atafaa zaidi
Mkuu wa mkoa wa Geita mh Rose amesema ombi la kuunda mkoa wa Chato likipita basu mkoa wa Geita utabakiwa na wilaya za Busanda, Nyang'wale na Geita yenyewe na Mbogwe
RC Rose amesema mkoa mpya wa Chato utapokea wilaya 1 kutoka Kigoma na 2 kutoka Kagera.
Kwa maana hiyo mkoa mpya wa Chato unaopendekezwa utakuwa na wilaya 5 ambazo ni Kakonko kutoka Kigoma, Bihalamuro na Ngara kutoka Kagera na Bukombe na Chato yenyewe kutoka Geita.
Chanzo: ITV habari!
Kazi Iendelee
Chakubanga, Ras BashiruPendekeza hapa jina la mkuu wa mkoa wa chato.
Same ni 40% ya mkoa wa Kilimanjaro inaweza kuomba kuwa mkoa pia!Upuuzi mtupu!! Kuongeza gharama tu za uendeshaji wa nchi.
Una hoja ila biharamulo ndio centre console so uitwe mkoa wa biharamuloLakini kwa upande wangu naona ni poa kabisa. Hizi wilaya japo juu ziko mbali sana na makao makuu ya mikoa iliyo. Mfano Ngara to Bukoba ni mbali kuliko Ngara to chato. Kwa upande wangu naona imetulia tu.
Biharamulo panaweza kuwa makao makuu ya mkoa lakini jina likabaki Chato!Una hoja ila biharamulo ndio centre console so uitwe mkoa wa biharamulo
Kwani RC ndio anayegawa mikoa?RC Rose ni kilaza sana. Kuna mikoa kama Morogoro au Tabora inayotakiwa kugawanywa sio Geita. Hiyo Geita yenyewe imetokea Mwanza. Acheni ulofa na upumbavu!