RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

Lakini kwa upande wangu naona ni poa kabisa. Hizi wilaya japo juu ziko mbali sana na makao makuu ya mikoa iliyo. Mfano Ngara to Bukoba ni mbali kuliko Ngara to chato. Kwa upande wangu naona imetulia tu.
Wanaonuna na wanune hahahahahh...................................
 
Nitawaunga mkono kama mtaanzisha mkoa wa Kahama na siyo huo mnaolazimisha.
 
Mama yetu hana sababu yakuteswa na kivuli cha marehemu kayafa,hana budi kuachana na jambo lakulazimisha wakati chato bado haina vigezo vya kuwa na hadhi ya mkoa.
 
Mikoa iliyokaa vibaya kijiografia ni Morogoro, Tabora, Pwani na Lindi, hiyo ndiyo ingepewa kipaumbele kugawanywa
Naona wako Sawa Tu. Sema tatizo mkoa umeitwa chato Bora ungeitwa biharamulo na makao makuu yakawa pale.

Mkoa wa kagera wamefanya poa kuugawa na watafanikiwa maana mkoa Una population kubwa na mrefu.kutoka ngara to bukoba ni km 400
 
Mikoa iliyokaa vibaya kijiografia ni Morogoro, Tabora, Pwani na Lindi, hiyo ndiyo ingepewa kipaumbele kugawanywa
Lakin hii mikoa ina population density na population ndogo kuliko kagera iliyogawanywa
 
mkoa wa chato utakua na makabila mseto hadi raha
Mbona makabila yanafanana Tu.

Ngara wahangaza
Biharamulo wasubi na wasukuma
Chato wasukuma
Bukombe wasukuma.



Kagera imebakiwa na wahaya na wanyambo Tu na walitofautiana Sana kimaendeleo na kitamaduni na biharamulo na ngara
 
Mkoa wa CHATO. Hii ni kwa heshima ya jembe letu watanzania R.I.P JPM.
hutaki bana choo.....imeisha hiyo!
 
Kwa nini walazimishe hivyo mkoa wa Chato kuzaliwa ? Kwa nini uende ukapore Wilaya 3 za mikoa mingine Ili tu kutimiza adhma ya Mwendazake?
Tatizo ni jina chato.


Mkoa uitwe biharamulo na makao makuu yawe biharamulo
 
Hiyo wilaya ya chato iunganishwe na mkoa wa Bukoba ili uwanja wa ndege wa kimataifa wa chato uwe kwetu sisi wahaya wenye pesa, wasomi, wenye mapesa ya kutumia usafiri wa ndege tufwaidi. Vinginevyo hapo chato patakuwa magofu kama kule badolite nyumbani kwa marehemu tajiri dictator mobutu seseko wa zaire bhoojo.
Bukoba kuna uwanja mdogo wa ndege lakin uko busy.
Tazama hakuna siti za ndege Kwa week hii nzima.


Walikosea Sana kujenga chato. Bora wangeupanua uwanja wa bukoba
Screenshot_20210528-130044.jpg
Screenshot_20210528-130100.jpg
Screenshot_20210528-130110.jpg
Screenshot_20210528-130442.jpg
 
Kwa maana hiyo mkoa mpya wa Chato unaopendekezwa utakuwa na wilaya 5 ambazo ni Kakonko kutoka Kigoma, Bihalamuro na Ngara kutoka Kagera na Bukombe na Chato yenyewe kutoka Geita.
Ama kweli kutangulia sio kufika! Hapo kabla, Chato ilikuwa ipo wilaya ya Biharamulo... leo hii Biharamulo inataka kuwa Mkoa wa Chato!

Hakika Everything happens for a reason!
 
Siyo hivo tu mkuu mfano kutoka kakonko kwenda makao makuu kigoma ni afadhar ukaenda mwanza make mwanza ni karibu kuliko kakonko kigoma, Muda mwingine mi naona ni kusogeza huduma karibu na jamii.
 
Back
Top Bottom