Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
#Decimoquinta!!
Hello Madridistas, ni matumaini yangu mmeamka na mzuka mwingi, natumaini pia vijana wetu wapo poa sana tayari kwa kupambania club yetu hapo baadae usiku.
Kama kawaida game kama hizi zinakujaga na feelings tofauti tofauti owa kila mmoja wetu., mie bana kadri muda utanavyokua unaenda presha huwa inakuwa inaongezeka pia mpka dakika 30 za mchezo kipindi cha kwanza ndio huwa ninapataga ahueni, na hapo poa inategemea na team jinsi inavyocheza.
Niwatakie kila lililo jema Wakuu., Hopefully baadae tutashangilia ushindi.
#HalaMadrid!!
Eti uchukue uefa striker Rodrigo mnachekesha sana
Kama kawaida., Ancelotti anatangaza kikosi chake mapema, kisha anaacha mpinzani wake akijiuliza kama aendelee na plan yake ama anadilishe?
Picha hii ilichukuliwa usiku wa saa saba kwa saa za afrika mashariki siku ya tarehe 2/6/2024Game plan ya leo. Tusiende na matokeo uwanjani. Tumuheshimu mpinzani wetu. Bvb wanacheza kitimu. Hawachezi na majina. Sisi tufanye kimoja tuu tuwaache wadominate mchezo ili kusoma udhaifu wao. Sisi ni long balls ikikataa hii plan ya long balls ni kuanza kupiga pass naamini bvb kwenye kupiga pass fupi fupi hawauwezi huu mchezo.
Ikiwezekana leo tuwe na NATURAL NINE tumalize kazi fasta.
UpojeLeo mnafungwa 🤣😁😁😁
Leo nina mashaka mkuu sjui kwanini..duh. ngoja nilale tu. Naona tunalia leo kama.CR7 jana.Leo upande wa kulia tena utawaka moto, leo Dani atakuwa dhidi ya Karim Adeyemi., yule na yeye ni mbishi kweli kweli.
Tumashinda mapema sanaLeo nina mashaka mkuu sjui kwanini..duh. ngoja nilale tu. Naona tunalia leo kama.CR7 jana.