Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Game plan ya leo. Tusiende na matokeo uwanjani. Tumuheshimu mpinzani wetu. Bvb wanacheza kitimu. Hawachezi na majina. Sisi tufanye kimoja tuu tuwaache wadominate mchezo ili kusoma udhaifu wao. Sisi ni long balls ikikataa hii plan ya long balls ni kuanza kupiga pass naamini bvb kwenye kupiga pass fupi fupi hawauwezi huu mchezo.
Ikiwezekana leo tuwe na NATURAL NINE tumalize kazi fasta.
Ikiwezekana leo tuwe na NATURAL NINE tumalize kazi fasta.