Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Nawaona Atalanta wanapiga jalamba.Game hii tumehujumiwa na mbape na valverde. Kuna kazi kubwa ya kufanya december hii tuna mechi ngumu sana na muhimu sana
Ancelloti huwa ana shida kwenye kuamini,yaani akiweka imani kwa mchezaji fulani hata kama akizingua uwanjani huwezi kumshauri kitu akakuelewa, last anafukuzwa alikuwa na shida hiyo hiyo., Valverde kwasasa kiwango chake kimeshuka sana, Ceballos alikuwa na mchezo mzuri, akamtoa.,Too much back passes huwa inasababisha mchezaji kukosea , kosa ni game plan Kwa manager , ukweli ni kuwa kocha anatakiwa afukuzwe kazi , timu inabaki Sana nyuma , hii inafanya wapinzani wabane space zote , adar guler ana uwezo wa dribbling lakini kocha still anacomand back passes , Kati Kati hamna creativity, issue ya mbappe ni kutokana na vipengele vya mkataba ndo mana anacheza Hadi mwisho ila mwamba ni mzigo
Jamaa wapo vizuri sana kwasasa, Ancelloti asipokuwa makini hii December inaweza kuwa ngumu sana kwake.Nawaona Atalanta wanapiga jalamba.
Vamos hala madrid
Acha tu man, sishangai kumaliza kipindi cha kwanza bila kupiga shuti langoni mwa Girona, sio kwa back pass hizi.We're struggling to hold the ball kama sio Real Madrid, WTF
Acha tu man, sishangai kumaliza kipindi cha kwanza bila kupiga shuti langoni mwa Girona, sio kwa back pass hizi.
😂😂tumvumilieHuyu Mbappe anashida mahali, sio kawaida kiukweli.
Huyu Mbappe anashida mahali, sio kawaida kiukweli.
Vinicius ilikuwa ni kituko, aafanya kazi nzuri, halafu anatoa boko pasi ya mwisho, kuna wakati mpka Benzema akamuona kama mpinzani.,Game yake itabadilika tu, nakumbuka kuna watu walikuwa wanadai auzwe Benzema abaki Higuain. Kilichosaidia ni kwamba Perez ni mvumilivu sana, mpaka leo hii Benzema ni legend.
Au unakumbuka jinsi tulivyomvumilia Vinicius Jr mpaka akaipata game yake? Vini aliku anakera