Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,502
- 6,049
Leo shid tupuVinicius Jr amepewa red card., utoto tu
Huyu jamaa anazingua sana.Vinicius Jr amepewa red card., utoto tu
Huyu mtoto ni ujinga sana unamtawala,inabidi mechi dhidi ya Valencia asiwe anapangwa kwa sababu toka msimu uliopita alikuwa hachezi na badala yake anavurugana nao.Vinicius Jr amepewa red card., utoto tu
Huyu mtoto ni ujinga sana unamtawala,inabidi mechi dhidi ya Valencia asiwe anapangwa kwa sababu toka msimu uliopita alikuwa hachezi na badala yake anavurugana nao.yy
Tunahitaji full backs wa 2, kama TAA na A.DAVIES wakija itakuwa vizuri sana. Then tupate defensive midf. Mmoja wa kuongeza nguvu katikati...
Hapo mpk Dm mmoja auzweTunahitaji full backs wa 2, kama TAA na A.DAVIES wakija itakuwa vizuri sana. Then tupate defensive midf. Mmoja wa kuongeza nguvu katikati...
Tunahitaji full backs wa 2, kama TAA na A.DAVIES wakija itakuwa vizuri sana. Then tupate defensive midf. Mmoja wa kuongeza nguvu katikati...
Vin Jr anashindwa kuhimili vitu vidogo. Ila naamini atawekwa sawa kama Cr7 alivyokuwa.Vinicius Jr amepewa red card., utoto tu