Check hiyo penalty, mpira ulishapigwa ila hivyo imewekwa kati., safari hii tunalo, halafu kule nyuma Camavinga alienda kufanya nini? Ama ndio hivyo Tchouameni na mwenzie alishapotea?
Vijana wanakosa tu utulivu, ila hawa weupe sanaHii mechi nyeupe sana tukikaza tunashinda
Hii mechi nyeupe sana tukikaza tunashinda
Acha tu man, tumekosa nafasi nzuri, hata kama tulikuwa pungufu.,Dah mbappe kakosa nafasi ya dhabu kabisa.
Hii angekua Cr7 hata kama kafumba macho ilikua chuma
Nafasi za maamuzi kama zile Ronaldo ndio utampenda. Au yule benzema wa 2022Acha tu man, tumekosa nafasi nzuri, hata kama tulikuwa pungufu.,
Hapo ngumu kufunga may be kutoa Assist ambacho Vini hakuwa eneo sahihiDah mbappe kakosa nafasi ya dhabu kabisa.
Hii angekua Cr7 hata kama kafumba macho ilikua chuma
Ni ngumu sawa ila kwa Profile ya mbappe palikua rahisi tena ingekua anatumia mguu wa kushoto ndo ingekua rahisi zaidi.Hapo ngumu kufunga may be kutoa Assist ambacho Vini hakuwa eneo sahihi
Mechi ya city uhakika mzee city nje 100% usiwafariji2 points in the last 3 games, we're stumbling kwasababu hii timu imekosa balance kabisa. Hata game ya city hatuna 100%