Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jose Munuera Montero dhidi ya Real Madrid, kipindi cha kwanza:

• Penalti 3 hazijatolewa
• Mbappé kapigwa ngumi kifuani, hakuna faulo
• Viní Jr. kapigwa kofi usoni, hakuna faulo
• Mbappé kapigwa kiwiko usoni, hakuna faulo
• Jude Bellingham anakuwa mchezaji wa kwanza kutolewa nje kwa kupinga maamuzi
• Ancelotti anapewa kadi ya njano kwa kuomba marudio ya penalti
• Fran García asukumwa hadi nje ya uwanja, hakuna kadi ya njano

Huu si mpira wa miguu..

Labda tuseme timu haina Balance na waamuzi.
 
Back
Top Bottom