Eiyer alikuaga ana mada za kufikirisha sana.Kuna uzi aliletaga humu dogo mmoja akamponda akamwambia haumfikii the bold.Jibu alilomjibu sipo humu kushindwanishwa na tangia hapo hakuleta tena nyuzi zake za mambo ya UFO.
Bora umenijulisha maana lile ndo jukwaa langu pendwa na Mbu ndo alielianzsha na ile username ikapotea mazima kiasi nikawa najiuliza huyu mwamba yupo wapiMbu yupo yupo kwenye uzi wa Liverpool anajiita Ladder
Life ban ni amekuwa ametenda kosa gani duhHasara amekula life ban since 2008 mpaka sasa.
Itakuwa wewe ndio hasara
Huyu mwamba baada ya ule uzi wake wa kuiba almasi pale Mwadui sijamsoma tena ila huyu mwamba nahisi alikuwa mtu wa aviation na pia ni mlinzi wa taifaWanaJF wengi average minded hawajui kutofautisha mtu maarufu na mkongwe. Mtu wakishinda nae kwenye nyuzi za chupi wanaona ni mkongwe au ana akili sana. Wakati kuna wababe kama barafu
Nashangaa et now anamwamini Mungu[emoji23][emoji1787][emoji1787]Mshana Jr nakumbuka 2014 nilijaribu kupambana naye mada ya uwepo wa Mungu jamaa alinizaba za kutosha. Alinifanya nikapekua makabrasha ya kikristo sema sikumrudia wakat huo nilikua na UE ndo nikasahau mazima kabisa kumrudia. Nashangaa et now anamwamini Mungu[emoji23]
Dah 😂😂😂🙌
HahahahahaSiku hz jf imevamiwa na watoto wa chuo na thread zao za kipuuzi tu
Regia Mtema...R.I.P ulikuwa msiba mkubwa sana hapa JF. Nakumbuka mpaka wajumbe waliubeba ule msiba na kushirikiana vyema. Ilikuwa 2012 Marehemu akiwa Mbunge wa Viti maalum kupitia Chadema alipata ajali ya gari akielekea njia ya Chalinze...Wewe mkongwe kweli yaani kama humtaji malaria sugu .. marehemu le mutuz ..marehemu regia mtema na mimi mwenyewe.. na Ritz
Huyo gudume siku nyingi bila kuonekana
Rajao...buku Saba huyuMalaria Sugu, Rejao, PakaJimmy, Pasco, Malila, Mary Chuwa
Tarehe 4 October natimiza miaka 11 na nusu kuwepo humu JF.Habari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao;
1.@GENTAMYCINE
2.@FaizaFoxy
3.@Extrovert
4. Pascal Mayalla
5.@Mshana Jr
6.@Behaviourist
7.@Shimba ya Buyenze
8. Depal
9.@Dengue
Hawa WAPEWE MAUA YAO.
Tutajie wa kwako maarufu au uliowakuta, wakongwee
Hata ya 'Kukusokomezea' nao Wote?GENTAMYCINE ila akili hana