Records: Yanga yaingia kwenye record za top 10 ya unbeaten duniani

Records: Yanga yaingia kwenye record za top 10 ya unbeaten duniani

Salaam wana jf

Club ya young africans imefanikiwa kuingia kwenye records za unbeaten kwenye ligue mbali mbali za duniani.....kwa wale ambao walikimbia umande ni kuwa yanga ndio timu pekee Tz na EA na Africa ambayo imecheza mechi nyingi bila kufungwa

Yanga yaingiaje rekodi ya unbeaten duniani??
Jibu ni kuwa yanga mpaka sasa wamecheza michezo 39 bila kupoteza ......na wakifanikiwa kushinda mechi yeyote kwenye ligue basi watakuwa wamevunja record ya chelsea......waliocheza mechi 40 bila kupoteza

Record ya timu unbeaten duniani
Fc porto.mechi 58...2021/2022
Ac milan mech 58. 1991/1993
Celtics. Mech 56 ....2016/2017
Bayern. Mechi. 53 ...2012/2014
Arsenal. Mechi 49......2003/2004
Juventus. Mechi 49. 2011/2012
Liverpool mechi 44. 2019/2020
Barcelona. Mechi 43. 2017/2018
Real madrid.Mech 42. 2016/2017
Chelsea. Mechi. 40. 2004/2005
Yanga sc. Mechi 39 2021/2022

Huko FIFA watu wanakanyagana kujua details ....za yanga

Je unafikiria nini unaposikia yanga ni timu unbeaten pekee africa??View attachment 2333512
Kwa hiyo Yanga wanapewa sh. ngapi huko? 😀
 
Hii inalisaidia nini taifa wakati ukiwa na point 0.5 huko caf?
Maana simba kasaidia vilabu vingine kupanda ndege kucheza kimataifa(Namungo. , Yanga wenyewe, Biashara utd na Azam) Haya , hii ya uto inasaidia nini?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kama ni hivo tuna zile LL za rivers
Za rivers mlishinda?
Maana hesabu ya hizo game 39 mmetaja game za league ambazo zinajumuisha misimu miwili. Wekeni record sawa mueleweke. Kama ni season moja basi mseme ni unbeaten katika mashindano yote bila kuhusisha msimu wa 2022/23
 
Ofsa hatutaki acha ibaki hivo ilivyo 😅 na hamna la kutufanya
Za rivers mlishinda?
Maana hesabu ya hizo game 39 mmetaja game za league ambazo zinajumuisha misimu miwili. Wekeni record sawa mueleweke. Kama ni season moja basi mseme ni unbeaten katika mashindano yote bila kuhusisha msimu wa 2022/23
 
Back
Top Bottom