holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Katika mwendelezo wa Ligi Kuu ya NBC, Mabingwa watetezi wa kombe la Muungano Simba SC watashuka dimbani kumenyana vikali kuzisaka alama tatu ugenini dhidi ya Namungo FC mjini Luangwa Lindi majira ya saa 12:30 Jioni
Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili.
Updates za vikosi vya timu zote mbili
Kipindi cha pili kimeanza ikiwa dakika,48 bado Simba wapo mbele ya goli 1 kwa 0 Dhidi ya Namungo
Dakika, 55 Simba wanamiliki mpira na mashambulizi
Simba wanalisakata soka safi na wanaogoza goli 2 hadi sasa
Dakika,63 Mchezo umekuwa wa kasi sana kwa timu zote 2
Kila la kheri na mchezo mzuri kwa timu zote mbili.
Updates za vikosi vya timu zote mbili
Kipindi cha pili kimeanza ikiwa dakika,48 bado Simba wapo mbele ya goli 1 kwa 0 Dhidi ya Namungo
Dakika, 55 Simba wanamiliki mpira na mashambulizi
Simba wanalisakata soka safi na wanaogoza goli 2 hadi sasa
Dakika,63 Mchezo umekuwa wa kasi sana kwa timu zote 2