Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Sometimes ni kweli lakini kama resources ni chache eneo husika hili linakuwaje..haiwezi kuleta umaskini kwa watu wake kukosa elimu na maarifa ya kujikwamua?Birth rate ikiwa kubwa soko nalo linakuwa kubwa vile vile GDP inapanda