Nyamambovu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 226
- 724
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa tuko bize na hamza wa salenda aliyetuulia polisi wetu utopolo mtuache kidogo na hizo takwimu zenu za kunjunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sasa tuko bize na hamza wa salenda aliyetuulia polisi wetu utopolo mtuache kidogo na hizo takwimu zenu za kunjunga
Amekua serengeti boy kabsa. Wale jamaa walimzeesha mno.Mi mwenyewe sikutaka nipitwe[emoji7][emoji7]...pendeza sana Bugatti [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1908508
Yaani jezi inavutia hatari.
Mumnunie kwa ubavu gani mlonao? mtampamba kama kawaida yenu.Lk sio kuleta mamluki kama haji,, kadi yake simba bado anayo mjue,, mfano leo hii kweli tajiri anuniwi mo amlete maulid kitenge pale simba si tutamnunia siku hiyo hiyo japo tajiri anuniwi, na kitenge ni mtangazaji tu hajawahi kuajiriwa na yanga official, ije kuwa kwa manara simba kindaki ndaki
1300× 1000,000+=Biashara ya jezi iko hivyo duniani kote. Ukishapokea mpunga wako kwa msimu husika, hizi zitokanazo na mauzo zinakuwa bonus tu.
Zaidi ya Bilion kadhaa hapa yanga inabeba.1300× 1000,000+=
Habari za hivi punde ni kwamba jezi mpya zaidi ya Milioni 1 za klabu ya Yanga zimenunuliwa ndani ya masaa 6 tu tangu kuzinduliwa kwake.
Eng. Hersi amethibitisha rekodi hii iliyowekwa na timu ya wananchi na kushangazwa na mapokeo makubwa ya jezi hizo mpya.
Jezi hizo zinauzwa Tshs. 28,000/= kwa bei ya jumla na Tshs. 35,000/= kwa bei ya rejareja.
Hii ndio maana halisi ya timu ya wananchi, wawekezaji ni wananchi.
Haya kachemshe maji ya kuoga ya mwamedi wako.“Ukishakuwa ni Yanga hata uwe na PHD linapokuja swala la Yanga wote akili zao huwa zinakuwa sawa na kuli,huwa hawana akili na Yanga yao” Haji Sunday Manara Msemaji wa Yanga akihojiwa na Salama Jabri.
Sisi hatuna mda huo Mzee baba Hamza ndio habari ya mjini.Habari za hivi punde ni kwamba jezi mpya zaidi ya Milioni 1 za klabu ya Yanga zimenunuliwa ndani ya masaa 6 tu tangu kuzinduliwa kwake.
Eng. Hersi amethibitisha rekodi hii iliyowekwa na timu ya wananchi na kushangazwa na mapokeo makubwa ya jezi hizo mpya.
Jezi hizo zinauzwa Tshs. 28,000/= kwa bei ya jumla na Tshs. 35,000/= kwa bei ya rejareja.
Hii ndio maana halisi ya timu ya wananchi, wawekezaji ni wananchi.
Jezi imewekwa vibwengo vingiiiiMi mwenyewe sikutaka nipitwe[emoji7][emoji7]...pendeza sana Bugatti [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 1908508
Jezi mafta mafta,si ya kuikosa hiyo mkuuYaani jezi inavutia hatari.
Mwenye macho haambiwi tazama.Leteni ushahidi acheni maneno matupu
We love you haters...[emoji178]Jezi imewekwa vibwengo vingiiii