REKODI: Jezi mpya za Yanga zaidi ya Milioni 1 zanunuliwa ndani ya masaa 6 tangu zilipozinduliwa

Mumnunie kwa ubavu gani mlonao? mtampamba kama kawaida yenu.
 

“Ukishakuwa ni Yanga hata uwe na PHD linapokuja swala la Yanga wote akili zao huwa zinakuwa sawa na kuli,huwa hawana akili na Yanga yao” Haji Sunday Manara Msemaji wa Yanga akihojiwa na Salama Jabri.
 
Sisi hatuna mda huo Mzee baba Hamza ndio habari ya mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…