Rekodi yangu bora kimasomo haijaniwezesha kupata ajira. Naathirika Kisaikolojia

Huyu kasema Ana miaka 27 ko hio 2014 alikua anamaliza form four au alikua form three.
 
Hatari. Halafu wakati tupo chuo tunajiona, mainjinia si ndo sisi😅😅
Nakwambia ,nà shule ya Engineering ni ngumu haswa sasa unamaliza unakuja kukutana na nyundo za kichwa za ukosefu wa ajira huku kitaa na hauna mtaji wa kusajiri kikampuni uchwara cha kujiajiri ili kuanza kupata tender ndogondogo ,lazima kichwa kiwake moto
 
Pole sana mkuu, wako wengi. Kuna mmoja ana ufaulu mkubwa sana zaidi yako, Olevel div 1 ya 9, Advance div 1 ya 4, akaingia top 20 wanafunzi bora kitaifa, Chuo akasoma petroleum, mpaka sasa hana ajira rasmi.
Unaemsemea c alhamia chemical engineering
Graduate wa tabora boys
 
japo tayari umeshasoma ila ulibug sana kusoma engineering geology,

vp akina lupogo hawakukukamata, kessy, mshiu et al, ulitoboa miaka yote bila sup.
Hahah! Lupogo nilipiga A course yake, akaniahidi kazi, baadad akapotelea kusikojulikana.
 
Sina hapana ni mtakatifu kwenye

Mkuu umenigusa sana mimi mtaa ninao ish wengi ninawazidi uwezo. Wachonizidi ni uzee tu, Na umr Kila mara napigwa vizinga🤣natamani Ata nihame mtaa maana nahitaji watu waliofanikiwa ili nijifunze zaidi najiona bado sana level ninayoitaka

Nakunukuu"ili ufanikiwe unahitaji kukaa na waliofanikiwa zaidi"
Matokeo ya jitihada za mtu ya nategemea zaidi volume ya watu ulionao(network) KMkhalid ish humo.
 
Umri wako bado tender sana usihofu we pambana utakaa pazuri sana hautaamini kijana bado maxi zako zitakubeba wakati na sehemu sahihi
 
I feel maumivu yako hayaelezeki nakumbuka nilikuwa kama wewe na fikra zako cha moto nilikiona dunia haina huruma hata kidogo usikate tamaa Allah yupo
 
Ahsante sana mkuu!
 
Umetisha sana kiongozi. Thank you sana. Nitalifanyia kazi.
 
Shukrani sana.
 
Mambo sio rahisi hivyo
 
wakati namaliza chuo nilikuwa na rafiki yangu mmoja alisoma Minning engineering huku mimi nasoma computer engineering miaka ya 2000 mwishoni
kuna mzee mmoja aliniambia kwenye kutafuta kama huna connection basi hakikisha uwe kwenye eneo sahihi
natamani kujua uko wap

ila kama plan yako ni migodini anza na ma contractor wadogo migodini(dar) pasahau kwa muda nenda kahama,shy,geita,mara
 
Shukrani sana.
Sawa ina maana umemaliza na miaka 24 usiwaze mkuu kimsingi una viungo vyote kamili Usijali nimeeleza juu asilimia kubwa wanaomaliza hivi karibuni kupata kazi inachukua 1-5 kwahyo "changamoto itumie kama fursa" ipo siku utafanikiwa

Mimi nipo geita kuna fursa nyingi mgodini Geita gold mine zinatoka Ila mchawi sasa atleast uwe Ata leseni ya udereva(buses, manual cars like land cruiser, HAice, Hilux hizi ndo aina na magari zinazotumika huko unaweza ukaanza kama dereva wa boss then Mungu s athumani ukapata pande) ku-operate machine huwezi kosa fani yoyote mule


Mwisho watu wengi wameshauri mengi mazuri, sasa muhimu ni wewe kufanya maamuzi yako sahihi. Maana wahenga walisema "kelele nyingi humtoa mtu kwenye focus"

Mungu akubariki, Sali sana, Amka mapema, ujifunze zaidi elimu kitaa haina mwisho. Cheti cha mtaani tunapewa siku tukifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…