2-Alpha Over
Senior Member
- Jun 8, 2021
- 121
- 129
Wachache watakuelewaReligion is a fictional identity.
Religion is a mental slavery.
Religion is a set of dogmatic rules manipulating weak minds.
Religion is a practice of training the mind to ignore facts, evidences and logic.
Religion is a programming system for collecting money and controlling the behavior of People who are vulnerable to the concept of God.
Religion is the world's most successful pyramid Scam, Every member recruits their own kids.
Nahisi nikigonga like paroko ataniona[emoji28][emoji28][emoji28] dini ni ushenzi na utapeli.
Alimuoa akiwa na miaka 6 akakafumua kalivyofika miaka 9Kwani ni Kweli alioa mtoto wa miaka 9, Je alikuwa ana lalanae kitanda kimoja, AU alimuacha mpaka alivyo fikisha miaka 18,
Na kwanini aoe katoto cha miaka 9
Ujinga.kwa sasa hauwez kuijua dini ya kweli mpaka utakapokufa.uzuri malaika wa kaburi moja ya maswali yao ni ipi dini yako.sasa wewe utawajibu unavyojua
Miaka 9 ilipita kweliAlimuoa akiwa na miaka 6 akampiga pipe akiwa na miaka 9
Labda alikuwa kibamiaMiaka 9 ilipita kweli
Msihalalishe vitu vya kijinga.Kuwa zamani haifanyi tabia ovu ya kuoa vitoto kuwa sawa,it was evil then,and still evil and immoral today.Kumbuka kwamba Mungu habadiliki,ni yeye yule jana,leo na milele.Mtoto wa miaka 9 anaingiliwaje sasa.
Kuoa na kuingilia ni vitu tofaut.
Kabla ya sheria watu walio hata mtoto wa miaka 2 akiwa chini ya uangalizi wa wazazi wake hadi umri wa kuingiliwa ukifika,kumbuka zamani wanawake walitunza bikira zao kwa ajili ya ndoa,huna unakatwa kichwa.
Religion is a fictional identity.
Religion is a mental slavery.
Religion is a set of dogmatic rules manipulating weak minds.
Religion is a practice of training the mind to ignore facts, evidences and logic.
Religion is a programming system for collecting money and controlling the behavior of People who are vulnerable to the concept of God.
Religion is the world's most successful pyramid Scam, Every member recruits their own kids.
Nigga was a pedophileKwani ni Kweli alioa mtoto wa miaka 9, Je alikuwa ana lalanae kitanda kimoja, AU alimuacha mpaka alivyo fikisha miaka 18,
Na kwanini aoe katoto cha miaka 9
View attachment 2753101
Wakiwa wazima wanakiburi na kutukana uwezo science tena huwa wanadai science inalengo la kumpinga Mungu wao.
waache tu, Hospital watakuja tu
Ndharia ya opium mwasisi wa falsafa hii alishindwa kuithibitisha.
Alitazama negative side ya dini ili isilete madhara kwenye mfumo wa ukomunist.
Ukomunist mtawala ndie mmiliki wa nchi kama alivyo Panki.
Wacomunist wanapinga dini kwa sababu dini inawaweka watu huru, inapinga watawaliwa kutendewa mabaya na watawala.
Hofu kuu ya kina Karl Marx ni kuogopa mawazo kinzani.
MANENO YA MTUME KUHUSU KIFO NA KITAKACHO ENDELEA BAADA YA KIFO
MUHAMMAD ANASEMAJE?
Kurani 39:30 inasema kwamba Muhammad, wafuasi wake na watu wengine wote watakufa siku moja.
SWALI--Hivi muhamadi kafa au bado? Ikiwa muhmad kafa maana yake yeye na wafuasi wake na watu wengne wote washakufa siku ambayo yeye alikufa kama quran unavyo sema kwamba yeye na wafuasi wake watakufa siku siku moja(yawezekana hapa tulipo sisi tushakufa mda Sana)[emoji23][emoji23]
Nini kitatokea baada ya hapo Muhammad hana habari! Hana wazo hata kidogo.[emoji28]
Quran 46:9. Muhammad anasema, "Sijui kitakachonipata mimi wala nyinyi wafuasi wangu. Mimi ni Mwonyaji tu na nasema yale yanayoteremshwa."
---------------------
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muhamadi
Hatambui
Hafahamu
Haelewi
Hajui
Hana hata fununu
Hana uwakika
Hana taarifa
Kua nini kitamtokea baada ya kufa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabikra 70..mito ya pombe..vyakula vitamu vya peponi au kwenda motoni hajui kama atakutana navyo au laa yeye alikua akisema tu alio kua akitumwa aseme hajui kama vipo au havip na hajui nini kitaendelea baada ya watu kufa [emoji23][emoji23]
Kipenzi cha mungu wenu hakijui kua kitaenda peponi au motoni yani sio yeye tu mpaka wafuasi wake magaid wake hawajui wapi wataenda au nini kitaendelea baada ya wao kufa [emoji23][emoji23]
Wachache watakuelew
Ubora upi ? Sababu ya Mkate na wine na mbuzi katuliki au ni mhemko TUIla kwa mudi tulipigwa asee,bora Yesu Kristo.
Bila research za baitul ilmu huko Baghdad wakati wa utawala wa khalifa wa kiislamu aliye sponsor great minds in mathematics, medicine, astronomy n.kKipindi social medias kama fbk zinaanza,wapumbafu wa dini walizikemea sana eti ni kazi ya shetani,walizipinga kweli kweli,leo hii wamejazana huko wakihubiri[emoji28][emoji28] upuuzi wao.
Lumumba ni professor wa Sheria so as any lawyer anaweza kusuka urgent mwizi kuwa huru Kwa mujibu Sheria.If you want knowledge about religion try to search for one professor "Patrick Lumumba " of Kenya. Just open U-tube
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
unaposikia israel mtoa roho.unajua roho ni nini?Na wasiozikwa kwenye makaburi huwa wanaulizwa wapi?
Wengine wanachomwa moto tu majivu ndio yanahifadhiwa, kwahiyo majivu ndio yanaulizwa?
Wanaosema religion is Mankind opium nakubaliana nao.