Uncle wako wewe? At least kwenye shamba langu amenipa eneo la kufanya kazi za wakubwa. Ila kama uteuzi, π π π πNdio walivyo wanyarwanda udhaifu wao ni kubaguana...Hata ankoli aliwapendelea watu wa jamii kwa shinikizo la viongozi wenzake
Mpenkoni na PakaNani
Nani na nani mkuu????
Ngoja aondoke Rwanda ilipukeMaana yangu ni hii ,niionavyo rwanda na Maendeleo iliyonayo kwa Sasa huwezi kumtenganisha nayo huyu Nkole/Kagame.
Na Kwa sasa ni kama vile kuna usawa kati ya Hizo jamii mbili apa Rwanda (Tusi na Hawa majority walioko Burundi/Wahutu), ubaguzi sio mkubwa kama vile ulikuwa kipindi hicho cha Mjomba Wako.
ICC haikuwepo wakati ule ndo maana ikaanzishwa ICTR Arusha.Hivi kwa hilo kwa nini Burundi haikumshitaki Kagame katika mahakama ya kiuhalifu the hague kwa Kumua Rais wa watu wa Burundi ambae hakuwa na hatia ?
Huyo acha aende tuSure, Special forces Wengi huuza Game.
Hata hapo Nyumbani , Kifo cha Jemadari Magu kiliacha maswali mengi, na Pengine wenye nayo Majibu sahihi ni hivyo vikosi Maalum
ICTR iliendesha kesi hizo za genocide na kuwa wahusika walifungwa akina Hassan Ngeze,John Bosco Balayagwiza na wengineo.Mmoja alikamatwa juzi hapa Yuko mahakamani.Baada ya hapo sasa ikawaje story haujaimalizia mkuu,
Kayibanda alikuwa na kosa Gani? Kayibanda alikuwa muhutu au mtusi?RIP Gregoire Kayibanda and your wife Verdiana Mukagatare
Babu nasikia Kuna clip kabisa walichomfanyia magu Hadi anawalalamikia kuwa hata wewe unanifanyia hivi??? Zinaeza toka Kabla ya uchaguzi Sukuma gang wamezihifadhi.Sure, Special forces Wengi huuza Game.
Hata hapo Nyumbani , Kifo cha Jemadari Magu kiliacha maswali mengi, na Pengine wenye nayo Majibu sahihi ni hivyo vikosi Maalum
Mpuuzi wewe!!!Huyo acha aende tu
Inaumiza sana ujue. Acha wapuuzi kama balibabambonahi waendelee kubwabwajaBabu nasikia Kuna clip kabisa walichomfanyia magu Hadi anawalalamikia kuwa hata wewe unanifanyia hivi??? Zinaeza toka Kabla ya uchaguzi Sukuma gang wamezihifadhi.
Inamaanisha walimuua kwa kumdunga sindano kwa lazima au walimziba na mto usoniInaumiza sana ujue. Acha wapuuzi kama balibabambonahi waendelee kubwabwaja
Aliishi ukimbizini mda gani???Nimekumbuka rafiki yangu Silas Blasio,tulivyofung shule hakurudi aliendankwao Rwanda baada ya RPF kuchukua nchi.Sijawahi kumsikia Tena.Alikuwa mtu wa Ngara.
Alikua muhutu na alikua raisi wakati huoKayibanda alikuwa na kosa Gani? Kayibanda alikuwa muhutu au mtusi?
Fanya hivyo mkuuKuna soft copy ya jamaa anaeleza kazi za ICC na jurisdiction yake,ameongelea hizo kesi Sana nikiipata nitaipandisha hapa