TANZIA Rest In Peace Tanzania One (T.O), Elias Kihombo

Vipi ajamlisisha mtu yoyote ujuzi. Au wote mlikuwa mnashangaa tu anapofundisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Mkuu kwa Msiba .

Yaani mtu amesomaaaa, kisha kafundishaaaa halafu kafa . Kweli maisha mafupi sana 😪

Vijana wengi sana wanaoshika hela mapema.. wanakufa mapema sana... stds zinawachukua sana vijana... vijana vichwa huwa hawaishi sana sabab ya wanawake
 
RIP Mwamba simjui lakini imenigusa poleni wanafamilia na marafiki na Mimi mwenyewe
 

Attachments

  • FB_IMG_1605857879723.jpg
    40 KB · Views: 74
  • FB_IMG_1605857918483.jpg
    88.9 KB · Views: 74
  • Screenshot_20201120-103046.png
    242 KB · Views: 76
  • FB_IMG_1605857722024.jpg
    37.1 KB · Views: 74
Hapo alikuwa na uwezo sio kukariri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure mwanangu,Physics ya A level ni ya moto balaa,nimesoma PCB,naelewa joto la physics.
 
Apumzike kwa amani huyu mhandisi, poleni wafiwa.

Hapo pia nimeona the tragedy of academic hyper-performance inayoambatana na arrogance. Mnisamehe sana kwa maoni yangu haya.

Kwa kutazama fates za hawa hyper-performers hasa wa O-level na A-level, naona bora mtoto apate passes za kawaida tu zinazotosha kwenda chuo na kuendelea na maisha, kwani hizi za kuzidi sana zinaleta pia mambo mengine magumu ambayo mtoto anashindwa kukabiliana nayo.

Usishangae kusikia kuwa hao wenzake walioorodheshwa pamoja hapo kwenye jedwali la matokeo sasa hivi wana maisha mazuri tu, wana makazi yao, familia zao, vipato vya uhakika na wanafurahia maisha, lakini mwenzao huyo waliyekuwa wakimsifu sana na hata kumuonea wivu ameishia maporomokoni.

Mnajua hawa "Tanzania-One" wanakoishia baada ya misifa hiyo? Tuwaombee sana hawa watoto na tuwasaidie sana.
 
"He was explaining the thing that he don know"
Nani alikuwa anaexplain? Prof Temu au Kihombo?
Ungetumia kiswahili ungeeleweka vizuri
 
Umeongea ukweli

Ukweli kabisa
 
Imenibidi kupitia comments nyingi sana ili kujifunza kitu.

Apumzike kwa amani.
Ni hazina hiyo imeondoka, niaona ni jinsi gani ilivyo ngumu kwa waliomfahamu kuipokea habari hii.

Kikubwa ni kwamba sote tutaungana naye katika safari yake saa ikifika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…