Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
- Thread starter
-
- #261
Upo sahihiCha ajabu kila mwaka kuna kijana ni Tanzania One mwenye akili kama yeye au zaidi
Hii ku-generalize kwamba ni top human being throughout miaka yote hii sijui labda umetumia measurement gani hasa?
arrogance angekua mtu wa kujishusha angefika mbali mi nilisoma na watu wa type ya jamaa walikua wanajifanya wao wana akili sana lakini dunia haitaki watu arrogant ukijishusha watu wanakusaidia jamaa anaonekana alikua ana akili ya darasani ila utoto mwingiHii nchi vijana wengi wa familia maskini wanajituma sana ila hawafanikiwi wanazunguka duara na kufa kwa frusttation .. why?
Mgambo ya kanolenilikuwa na mdogo wake kihombo JKT MGAMBO 835-2013 anaitwa Beatrice Kihombo...daah pole kwa Familia,ndugu,jamaa na Marafiki
Tumepoteza mtu muhimu mwingine tena,daah hakika jamaa aliwainua wengi ‘Raha ya Milele ampe Eee! Bwana na Mwanga Wa Milele Umwangazie,APUMZIKE KWA AMAN
Huyu niachieAcheni Basi sio vzuri [emoji4]
🤣 🤣 🤣 🤣Janjajanja akina arts History geography yanazidi kudunda tu kwenye ardhi ya mola
Kwani nani kasema ana undugu na wewe??Sitaki uniite dogo wala mdogo wqko.sina undugu naww
Vinapatikana wapi nianze kumnunulia dogo langu yuko maspecial huko Tabora
Ubora wa mitihani (na siyo ugumu) unatofautiana kila mwaka. Kila mwaka wanafaulu, lakini kati ya waliofaulu kuna wanao(aliye)faulu zaidi.Cha ajabu kila mwaka kuna kijana ni Tanzania One mwenye akili kama yeye au zaidi
Hii ku-generalize kwamba ni top human being throughout miaka yote hii sijui labda umetumia measurement gani hasa?
BABA SWALEHE ANDIKA KISWAHILI TU.So appreciating Joannes Chrysostomus Wolfgangus Theophilus Mozart
Just because he is white and because you didn't know Elias you are happily mocking him
Anyway Africans tupo hvo
Matokeo yake o level alifeli all other arts subject ,D and C but physics chem math alkua ana A her mother alkua ni secretary wa shule so alkua anamtaftia vtabu na kumpa anasoma mwenyewe
Anyway nkikuelekeza Sana bado hutoelewa your mindset ipo hvo
Ila nyinyi madogo mbona vilaza sana, muache kukurupuka, hujui kama 98% ni 58.8/60 ? Sasa shida iko wapi hapo ?
Hiyo 60 yako inawekwa kwenye mia kisha 40 kadhalika, mwisho wa siku ukijumlisha unarudi mule mule kwenye jumla ya 100.
Ntajitahidi kakaBABA SWALEHE ANDIKA KISWAHILI TU.
ENGLISH YAKO INANIVUNJA MBAVU...
Kwani usingetupiga madongo ungepungukiwa nini mkui😂😂😂😂Tansia ya physics na mathematics kusema kweli Imepata pigo kubwa nchini karibuni. Muddy physics katangulia tena leo Kihombo. Janjajanja akina arts History geography yanazidi kudunda tu kwenye ardhi ya mola
elimu ya sasa ipo katika mazingira mepesi sana ukilinganisha na miaka ya 2012 kurudi nyuma...Ubora wa mitihani (na siyo ugumu) unatofautiana kila mwaka. Kila mwaka wanafaulu, lakini kati ya waliofaulu kuna wanao(aliye)faulu zaidi.
Aliyefaulu zaidi ili kujua sifa zake za ziada ni lazima alinganishwe na waliofaulu zaidi miaka iliyotangulia.
Records zitaamua.
Hata mkipata wote A zote, lazima zitakuwa na uzani tofauti
NAUNGA MKONO HOJA. SASA HIVI KUFELI NI KUJITAKIA TU. ENZI ZETU 2000 NDIO KULIKUA NA VIPANGA HATARI.elimu ya sasa ipo katika mazingira mepesi sana ukilinganisha na miaka ya 2012 kurudi nyuma...
maana hapo ndipo elimu na mitaala ya elimu ilianza kuchezewa hovyo hadi sasa...
so huwezi linganisha T.O wa mwaka 2000 na wa sasa 2019 ama 2020...
Upo sahihi Sana mkuuUnchosema ni sawa...hivyo vigezo vyote ulivyotoa ni sahihi
Ila kwa hili,nani kafanya research ya kweli kwa vigezo vyote hivyo kutuhakikishia Kahombo ndio supreme among all these years mzee?
Hakuna aliefanya!
Kilichofanyika ni maoni binafsi ya mtu kwendana na hisia zake ila hakuna concrete stats to back it up!
Sasa tubaki kwenye personal opinions tu mzee!
TAFUTENI ''A'' ZA GEOGRAPHY 2006. ZINAHESABIKA NAMI NILIKUA MMOJA WAO.Upo sahihi Sana mkuu
Hongera Sana mkuuTAFUTENI ''A'' ZA GEOGRAPHY 2006. ZINAHESABIKA NAMI NILIKUA MMOJA WAO.