Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Hebu ngoja kwanza,usiniburuze tu kama mzigo ngombe wewe, kwani wakati mume anaswekwa rupango walishaachana na huyo shoga enu resti? Au baada ya mzeebaba kupigwa rokapu ndiyo shosti enu nae akaamua kukavuta ka ben 10 kaje kakaonje jasho la mjuba anayesota mangele? Kama ni hivyo basi huyo shoga enu anatakiwakuuliwa kabisa!! Sijui tu hao ni waswahili wa wapi,ila ingekuwa kule Machame kwetu huyo balaa angeshanyooka nawwe!! Woo nka!