Restuta Bura aingia mpambano mkali kugombea mali za baba mtoto wake huku mume wake wa ndoa akiwa kimya

Restuta Bura aingia mpambano mkali kugombea mali za baba mtoto wake huku mume wake wa ndoa akiwa kimya

Aisee kumbe kuna mwana before ndio alikuwa ana kula lile tako, mwanaa akapelekwa lupango 😀😀😀

Mwana lupango asijiganye mbabe awe mpole tu maana alisha kosea,
 
Kuna kaukweli ndani yake lakini mzee baba hapa wa kuitwa mume kabweteka sanaaaa
Mwanaume gani hawezi kuongoza familia
Kuna Wanawake wengine hawambiliki,labda Mume alishamkataza,lakini yeye kwa ujuwaje wake bado anafanya anavyotaka yeye! Sasa hapo Mume atasemaje,wakati wote tunajua Kunguru hafugiki!!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna wanawake wengine vichwa vibovu Sasa kama jamaa kamshaur huyo bi dada aachane na hayo mambo alafu ukute demi analazimisha utamfanyaje? Ni kumuacha tu apambane na matokeo
Tena Mwanamke mwenyewe barmaid utamwambia nini akusikilize! Bora angekua Mwanamke mwaajiriwa hapo kidogo angekusikiliza!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Huu ugomvi si wa kuingilia mume wa Rest atafedheheka. Kama asingekuwa Mario toka mwanzo asingeruhusu mke kuanzisha biashara kwenye eneo ambalo si mali yake.

Kwa sasa anachoweza kufanya ni kumshauri kisheria afanye nini ili afidiwe mali zinazodaiwa kuharibiwa then rest na baby daddy wake waingie kwenye makubaliano ya kulimaliza swala kidiplomasia. Ni swala la kuomba ruhusa ya kulitumia eneo wakati anatafuta eneo lingine.

Hao bado wanapendana na ndio maana kuna vita. Sio kila vita ni vita halisi zingine ni mahaba
 
Sasa anapomuacha mke apambane mwenyewe inamaanisha nini!? Au anasuburi ashinde ndio waende kula hilo jasho
Hahahahah sasa kidume akapambanie mali za mwanaume mwenzie? Utakuwa ufala halafu huyo jamaa akili ndio hana kabisa.

Mie hata kama demu ana pesa katika mazingira hayo ningemshauri baada ya muda tu tuachane na hizo mishe za kutegemea rasilimali za ex wake.

La hasha ningekuwa nampiga hela nawekeza katika mazingira ambayo yatahakikisha usalama wangu kama kidume. Ni kununua eneo ambalo ningeliweka hata jina la mtoto wetu tu ila ni petu tupaendeleze. Naimani mwanamke asingekataa sababu alikuwa na access ya rasilimali na vibunda vya mfungwa.

After sometime unamchana tu wife kuwa haya mazingira sio inabidi tuhamie pale kwenye kiwanja kipya. Imagine wasafi wanaingiza 10M kila mwezi kupitia kodi ya jengo. Bado biashara zile bado access ya vibunda vya EX. Bado za kudanga mwanamke anakosaje 100M ya kununua kiwanja kwenye prime area ambako biashara inaweza kuendelea bila tatizo?
 
Kwa mume aliye nae Sitashangaa
Kwahio Mbeba pochi ajiandae na kula redundancy 😂?

Kwa akili za wanawake sitashangaa maana ili amaintain status anahitaji vibunda vya EX aendelee kuvi access. Kama itamlazimu kumpiga chini mwamba anaweza kujikuta yupo nje ya mchezo!

Oh baby tusameheane shetani alinipitia af sote binadamu. Mie niliogopa nikajua hautatoka tena ona sasa mtoto wetu atakavyoteseka af ningekosa kuolewa. Hii kauli inatoka baada ya kukojozana kwa usiku mzima😅

Blaah blaah mara mbeba pochi anaambiwa “Sorry but mi naona this isn’t working no more i need some space please baba holly” 😂😂😂 kimeu manaa brazaaaa
 
Na mume nae anapenda kulishwa bata, kupigwa picha na mavideo na kupostiwa mitandaoni

Yaani vitu anavyopost rest zaidi ni biashara zake za RESTPACK BAR, RESTCOSMETIC NA RESTHUSBAND😆😆
Mume ni ndezi! Mie hunipigi pigi mapicha vile. Lazma nikaze tu sema jamaa kalegea kama Mlenda😅 lenyewe kila kitu linakubali tu kama “mjumbe ndio”

Ila sindio wanaume mnaotakaga hao majentromeni. Sie manunda wenye misimamo ya kiume mnatuita wakoloni hamtutaki kabisa.
 
Huu ugomvi si wa kuingilia mume wa Rest atafedheheka. Kama asingekuwa Mario toka mwanzo asingeruhusu mke kuanzisha biashara kwenye eneo ambalo si mali yake.

Kwa sasa anachoweza kufanya ni kumshauri kisheria afanye nini ili afidiwe mali zinazodaiwa kuharibiwa then rest na baby daddy wake waingie kwenye makubaliano ya kulimaliza swala kidiplomasia. Ni swala la kuomba ruhusa ya kulitumia eneo wakati anatafuta eneo lingine.

Hao bado wanapendana na ndio maana kuna vita. Sio kila vita ni vita halisi zingine ni mahaba
Hakuna vita kwa wazazi wawili wenye mtoto ambaye yuko hai. Lolote linaweza tokea baina yao 😂 na hii ni sababu kuonana ni Pie! Hasa kwenye mazingira ambayo baba mtoto ana mawe haina kipingamizi.
 
Naweza kusema nakubaliana kwa 90%

Nawaza Rest akirudi nyumbani mume anamwambia pole mke wangu, na kesho kapambane tena hadi kieleweke! Eneo letu lile🙄🤔
Eneo lao kivipi?😂 Hahahahah nimewaza hio moment af nimecheka kinoma
 
Ungekua wewe ndio mume halafu mke analazimisha mambo ya aibu hivyo ungefanyaje😐
Kwa mke mwenye confidence level ya Resty huna la kufanya unatulia tu sasa unaangalia movie iendavyo! Sababu nina uhakika huyo dada ni mbishi vilivyo kwa kumtazama character yake tu na hivyo ana run matters zote za uchumi wa familia. Huwezi mwambia kitu😅

Kwa mtu ambaye mke wake anamsikiliza kauli ni moja tu “Mke how much is the balance at the bank?” Akijibu hilo then unamwambia lets get another area achana na hio ligi haina afya, najua inakuuma ila its not worth it bana tutapata aibu tu kama unanipenda niskilize nachokwambia kwa welfare yetu wote.
 
Unaposema asiitwe mpambanaji sababu ya "Kulisha damu chafu" na wewe unakosea. Ukweli ni kwamba Rest ni mpambanaji ndio maana anamudu hayo. Issue ya kumsubiria wa jela siijui wala siwezi kumpangia sababu mahusiano ni ya wawili

Pia siwezi kumwita mdangaji sababu sina proof, ninachojua ni kwamba Rest ni mfanyabiashara mwenye kumiliki BAR na Maduka ya vipodozi na urembo kitu ambacho hata brela wanajua

Issue inakuja kwamba inakuaje mume anamruhusu kugombania mali za mahusiano yaliyopita
Usimpake rangi bana huyo ni mdangaji anajulikana toka enzi za Jangwani Sec. ~ aliskika sista duu flani!

Well well..., kwa ishu ya mpambanaji angepiga kimya akaibukia na empire yake mpya sio kutafta huruma ya watu. Ni upuuzi kuolewa kisha uendelee kutumia mali za EX na mtu wako mpya. Hii tu inam disqualify jamaa kuwa mwanaume wa shoka instead analeta picha ya wazi kuwa ni mbeba pochi!

Mwanaume ukioa unabeba mke unampeleka kwako hata kama ni geto la rum 1 ila unapalipia kodi wewe. Hamna ujinga wa kuoa kisha unahamia kwa demu inaleta dharau sana.
 
Kwahio Mbeba pochi ajiandae na kula redundancy 😂?

Kwa akili za wanawake sitashangaa maana ili amaintain status anahitaji vibunda vya EX aendelee kuvi access. Kama itamlazimu kumpiga chini mwamba anaweza kujikuta yupo nje ya mchezo!

Oh baby tusameheane shetani alinipitia af sote binadamu. Mie niliogopa nikajua hautatoka tena ona sasa mtoto wetu atakavyoteseka af ningekosa kuolewa. Hii kauli inatoka baada ya kukojozana kwa usiku mzima😅

Blaah blaah mara mbeba pochi anaambiwa “Sorry but mi naona this isn’t working no more i need some space please baba holly” 😂😂😂 kimeu manaa brazaaaa
Unakumbuka story ya jamaa ambaye mwanamke alimuacha akarudiana na ex wake . Jamaa alikuwa analia hapa JF
 
Back
Top Bottom