Restuta Bura aingia mpambano mkali kugombea mali za baba mtoto wake huku mume wake wa ndoa akiwa kimya

Restuta Bura aingia mpambano mkali kugombea mali za baba mtoto wake huku mume wake wa ndoa akiwa kimya

Ajiandae kisaikolojia maana kesi zitakuwa nyingi na pesa itaishia huko
Akiwa na akili ya kujiongeza aachilie asonge maisha yaendelee
Show off haya ndio matokeo yake
Baba mtoto atamyambisha mume atajitoa (haya maisha tutembee polepole)
Akae aelewane na Baba Mtoto wakubaliane sio hizi vurugu social media zitawaanika vibaya
Kinachofata hapo ni lazma Resty na Kweka watibuane tu! Its on its way mtakuja kuniambia tu...Reserve hii comment kwa reference.

Chanzo, Resty atahitaji support ya mume sasa na kwa kuwa amembeba Kweka kwa muda mrefu na jamaa hana hela itapofikia Resty anahitaji mchango wa kifedha kuendesha kesi jamaa hana ndipo atapogundua kuwa yupo na mtu ambaye ni useless kabisa.

Zinaanza zile za “Yani wewe hata mawazo tu huna unachosha kwa kweli”...”Mwanaume unaboa kama nini”....”Yani mwanaume upo upo tu hueleweki”

Mapenzi ni matamu hela ikiwepo tu, hela ikishakata lazma mtie akili!😂
 
Unakumbuka story ya jamaa ambaye mwanamke alimuacha akarudiana na ex wake . Jamaa alikuwa analia hapa JF
Hahahahah siikumbuki hio hebu ni tag mkuu niisomage😂
 
Rest yuko na yule kaka sasa ila sijui kesho

Mbaya zaidi Rest anamtumia yule kaka kuonyesha watu kwamba ameolewa na ana mume na watu wanaoonyeshwa wanamwona Rest mlezi wa wana na mume hatoshi kwenye viatu vyake

Mimi naamini mwanaume yoyote anayejua nafasi yake ana uwezo wa kum manage mwanake yoyote aliyemchagua kwa kuona kwamba anamtosha.

Mwanaume kamili hawezi kuwa na mwanamke ambaye hawezi kumsupport kwa upendo au hisia wala kwa kumtunza. Kutunza na kuwapa security wake wao ndio pride ya wanaume na ndivyo ilivyoumbwa
Hapo kwenye security na pride lazma kuwe na mazingira ambayo yatawakutanisha mumeo na Bank ATM always. Na hapa ndipo trick ya mwanaume ilipo na support ya ndoa.

Hayo mazingira yasipokuwepo jua tu mwanaume kusimama imara lazma kutamshinda tu. Believe me yani hata mumeo hayo mazingira akiwa hana hio nafasi lazma itampwaya tu.

Hata awe ana kusapoti kwa kukukojoza na kukuambia maneno matamu matamu bado utamuona mzigo tu kwenye maisha yako. Sukari imeisha anaitwa mtoto holly hebu lete pochi ya mama akupe hela ukanunue sukari ni huzuni😂
 
Ndoa ni zaid ya papers
Pale hakuna mume sanasana amegeuka mfuasi wa resty
Hivi kile kiburi cha resty yule kaka anaweza ongea lolote na hivi pesa hana?
hhhhhhhh kumbe kweli ana kiburi eeh
 
Hahahahah sasa kidume akapambanie mali za mwanaume mwenzie? Utakuwa ufala halafu huyo jamaa akili ndio hana kabisa.

Mie hata kama demu ana pesa katika mazingira hayo ningemshauri baada ya muda tu tuachane na hizo mishe za kutegemea rasilimali za ex wake.

La hasha ningekuwa nampiga hela nawekeza katika mazingira ambayo yatahakikisha usalama wangu kama kidume. Ni kununua eneo ambalo ningeliweka hata jina la mtoto wetu tu ila ni petu tupaendeleze. Naimani mwanamke asingekataa sababu alikuwa na access ya rasilimali na vibunda vya mfungwa.

After sometime unamchana tu wife kuwa haya mazingira sio inabidi tuhamie pale kwenye kiwanja kipya. Imagine wasafi wanaingiza 10M kila mwezi kupitia kodi ya jengo. Bado biashara zile bado access ya vibunda vya EX. Bado za kudanga mwanamke anakosaje 100M ya kununua kiwanja kwenye prime area ambako biashara inaweza kuendelea bila tatizo?
Anunue kiwanja halafu vacation Ibiza aende SAA ngapi?🤣
 
Kuna madogo wanahaha kutongoza wake za watu na mashangazi kwa kigezo kuwa walionao hawawakuni vizuri huko
Wanakosea sana kutembea na hisia potofu,kuna madingi wanasimamia show balaa.
 
Usimpake rangi bana huyo ni mdangaji anajulikana toka enzi za Jangwani Sec. ~ aliskika sista duu flani!

Well well..., kwa ishu ya mpambanaji angepiga kimya akaibukia na empire yake mpya sio kutafta huruma ya watu. Ni upuuzi kuolewa kisha uendelee kutumia mali za EX na mtu wako mpya. Hii tu inam disqualify jamaa kuwa mwanaume wa shoka instead analeta picha ya wazi kuwa ni mbeba pochi!

Mwanaume ukioa unabeba mke unampeleka kwako hata kama ni geto la rum 1 ila unapalipia kodi wewe. Hamna ujinga wa kuoa kisha unahamia kwa demu inaleta dharau sana.
🤣🤣🤣🤣 Binti Zanaki huyoo .Mtoto wa mujini
 
Huyo jamaa mzembe sana,mjelajela aendelee kushika makende yao tu.
Kapewa eneo resty muda tu angekua hata na chain kibiashara maana alijua situation.
Nadhani alifikiri jamaa hatoki jela.
 
Huyu mwanamama RestutaBura ni mpambanaji kwelikweli, pamoja na mambo mengine yanayomkuta bado anasimama kama mmoja wa wanawake hodari na watafutaji kila wapoona fursa. Rest anafanya biashara ya bar, vipodozi na urembo

Rest amekua akifanya biashara kwenye moja ya eneo linalomilikiwa na baba mtoto wake na familia yao. Eneo hilo alikabidhiwa afanye biashara ili iwe ulinzi kipindi ambacho baba mtoto wake alikua jela. Wakati akiendelea na biashara zake ndio alikutana na mume wake huyu anayeishi nae sasa wakaoana kwa ndoa, wakazaa na kuendelea kufurahia maisha yao.

Utata umekuja baada ya baba mtoto wake kutoka jela na kumtaka bidada aondoshe biashara anayofanya kwenye eneo hilo na yeye kukataa kuondoka bila kulipwa gharama za ujenzi wa bara ya restpack na ulinzi alioufanya hapo kipindi chote jamaa akiwa korokoroni

Mali za Restpack zimeharibiwa, wafanyakazi wameumizwa, yeye mwenyewe amedhalilishwa huku mumewe akiwa kimya....
Hivi kweli huyo mume mwanasheria kashindwa hata kumshauri mkewe aachane na maugomvi ya mitandaoni na badala yake afuate sheria kupata haki yake kama ipo?
Kashindwa kufuatilia hilo jambo na kufanya maamuzi kama fazahausi kabla ya haya mambo kufika huku?
Hivi wakati mke anaenda kupambana na babamtoto wake na makampuni ya ulinzi mume anaagwaje? anakuwa anabaki wapi?
Hivi huyu mume akikuta mkewe karudiana na babydad wake atalalamika!? Mbona kama ndio anamtuma?




Ninapokutana na mambo kama haya huwa namkumbuka sana WARUMI RIP

Huyu mwenye hichi ki media atajuta kasema polisi wamechukua rushwa! Ataitwa athibitishe
 
Mama ake Kweka itakuwa anapiga ukunga daily

Huzuni asee[emoji26][emoji848]
 
Nikiandika sana nitaambiwa ni wivu ila kwakweli pale kazi ipo. Yule kaka hapana asee
Ndo mwenye hisia nae au unataka awe na mwanaume asiyekua na hisia nae a.k.a moyo haujampenda

We unaweza kuishi na mwanaume ambaye huna hisia nae
 
Sasa anapomuacha mke apambane mwenyewe inamaanisha nini!? Au anasuburi ashinde ndio waende kula hilo jasho
U kibenteni kazi sana lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi yule mwanaume naskia ni mwanasheria, kasoma chuo gani? Huenda kuna tatizo lipo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie namuonaga km aristotee kwa uwoya, sema wao wameingizia style ya ndoa lol.
 
Back
Top Bottom