Restuta Bura Kweka almaarufu "Resty Fish BBQ" ni nani haswa?

Mmh best huonagi kwake [emoji23][emoji23][emoji16]Kila akianza kukata maunoo na mume wake huku wakijirekodi mi naona mapazia hayo hayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyooo.. halafu nyumba anayoishi sasa naona siyo kama ile mwanzo..Labda atabadilisha akimaliza mjengo wake ule ulitaka kumtoa roho Rachel.. [emoji28]
 
Weeee bwana bwana ila.huu mji huu
 
Ushamtaja kwa majina full na shhghuli afanyazo unazijua sasa sielewi msingi wa swali lako ni nini hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…