Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Mchungaji mwenye msimamo mkali inapokuja suala la kumtumikia Mungu aliye hai Rev. Moses Maghembe ameamua kujiondoa kuwa chini ya usimamizi wa kanisa la mahali pamoja laTanzania Assemblies of God T.A.G

Kama ilivyokuwa kwa wajina wa Maghembe, alikuwepo Moses Kulola ambaye alijitenga na T.A.G na kuanzisha E.A.G.T kwa kutokukubaliana na baadhi ya misingi ya kanisa haswa inapokuja suala la kumtumikia Mungu ipasavyo. Wengi tunafahamu uhodari wa Moses Kulola na huduma yake katika kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.

Rev. Maghembe ndiye mchungaji pekee alikuwa na uthubutu wa kukosoa uongozi wa askofu Mkuu wa kanisa la T.A.G Dr. Barnabas Mtokambali. Alikosoa kitendo cha kanisa la kiroho kutoa tuzo ya amani kwa mwendazake wakati matukio ya mauaji yalikuwa juu. Pia alikosoa waziwazi maadhimisho ya chama cha vijana ndani ya kanisa C.A.S yaliyofanyika Iringa kwa kufanya bonanza la mpira wa miguu. Maghembe alidai ile siyo njia ya kuhubiri injili ila ni kuishiwa kwa maono na kanisa kuanza kuiga mambo ya kidunia, kanisa linatakiwa kuleta athari duniani na siyo dunia ilete athari kanisani

Kuwa na ministry binafsi au kuwa chini ya uongozi. Wewe uko upande gani?
Kafanya vyema kujitoa TAG
 
Kuna mambo mengi sana ya kidunia yameingizwa katika Ukristo ambayo asili yake ni kuzimu/shetani lakini yamekuwa adopted kutoka upagani(miungu ya kidunia) na kurasmishwa na kuhalalishwa katika taratibu za ibada za kikristo
Mengine yalikuwa too obvious ambayo hata kichaa tu anaona huu utaratibu hautokani na Mungu bali ni wa kidunia ..mfano zamani watu walikuwa wanauziwa vyeti vya msamaha wa dhambi unalipia unapata cheti au hati ya msamaha wa dhambi au tiketi ya kuingia mbinguni unauziwa unalipia unapata kwa fedha yako.
Na vingine vingi aliviona Matin Luther mtiolojia...
Kwa dunia ya sasa hivi ni baadhi ya tuvitu ambavyo vinaonekana ni tudogo tudogo ambavyo ni vya kidunia ambavyo mkristo raia wa mbinguni anapaswa kuviepuka ni pamoja na

1)kujipamba kujiremba hasa wanawake kusuka ,kuvaa mawigi,mapambo,kuvaa make ups ,kujichubua,rangi za kucha kope ,kuvaa kipachika vitu bandia kuvaa vito...kuna makorokoro mengi wanayotumia mapambo kujiremba wanawake ila hizo gadgets ni maagano na kuzimu.

2)njia Uzazi wa mpango dawa za uzazi wa mpango hazizuii mimba isiingie/isifanyike (fertilization)ila zinazuia mimba isitunge (implantation) yani katika ulimwengu wa kiroho anayetumia uzazi wa mpango anahesabika amefanya UTOAJI MIMBA ni kuua ROHO ZA HIZO MIMBA(uuwaji)

3)Pombe wakristo wengi wanafundishwa mafundisho potofu kuwa pombe siyo dhambi na muna wengine wanafika mbali wanatamani hata kuoa mitaala wana amini pia kuwa na wanawake wengi mitaala ndoa za wake wengi(pombe na uzinzi mitaala ndoa za mke zaidi ya mmoja ,maoenzi ya jinsia moja na mengine yanayofanana NI DHAMBI

4)Miziki ya kidunia,tamthiliya,filamu sinema katuni,ma super hero wakidunia superman,bat man,spider man dianey na hollywood nk nyingingi sinema na miziki ya kidunia .MIZIKI NA FILAMU ni sehemu za ibada ,miziki ile ya kidunia imebeba roho ya kuzimu inayolaani na kuweka maagano ya uharibufu wa maisha ya wote wanaoshiriki ibada ya kishetani kupitia kusikiliza kutazama miziki ya kidunia na sinema video movies za kidunia hollywood n.k hata katuni n.k
5)sikukuu za kipagani xmas,hallowen,happy birth day,na nyongine nyingi...hata hii ya mienge kukimbiza mwenge ..nyingi sana nibfhambi
6)mavazi wanaume wasivae mavazi ya kike na wanawake wasivae mavazi ya kiume ..nguo za fasheni za kidunia ni dhambi
7)michezo kama simba na yanga,ngumi,karate,mieleka n.k olympics n.k mingi sana ni dhambi hata watunisha misuli body builders ,models na ma miss dhambi tupu
8)MIZIMU kutambika mizimu ibada za wafu kama kuomba wafu wawasaidie na kiwatambikia mizimu ni dhambi,kuchanja chale ,kwenda kwa manabii wa mafuta ya upako,waganga wa kienyeji,mafuta ya upako na vitu vya upako kitoka kwq mitume na manabii...ni dhambi
KUCHORA MIILI TATOO na kuchanja chale...n.k,kuvaa mlegezo ,nguo zisizo na maadili kunyoa fasheni ,nguo zenye nembo alama za maagano ya kipepo..vingi sana ,mavazi na vito vingi vinakuwa na maagano vimenyiziwa hata vyakula vingi vimenuiziwa au vina maagano hivyo vyakula tunavyokula na mavazi tunayovaa mfano unakula chakula cha tambiko/kafara au kilichonuiziwa laana au nguo zilizo nembo au alama za ibada za kishetani zina laani maisha .

9)
View: https://youtu.be/EgkXodTKSrY?si=wvMsRBI82dMqSeXq
 
Hakika ukiwa mkweli utasimama kwenye ukweli. Unachofanya nrawa kabisa kwani hawa ndiyo wanao ongoya kuumiza makanisa pamoja na wauming wao wasio mjuwa kristo kwa kudanganywa. Hongera mchungaji.
 
Kuna mambo mengi sana ya kidunia yameingizwa katika Ukristo ambayo asili yake ni kuzimu/shetani lakini yamekuwa adopted kutoka upagani(miungu ya kidunia) na kurasmishwa na kuhalalishwa katika taratibu za ibada za kikristo
Mengine yalikuwa too obvious ambayo hata kichaa tu anaona huu utaratibu hautokani na Mungu bali ni wa kidunia ..mfano zamani watu walikuwa wanauziwa vyeti vya msamaha wa dhambi unalipia unapata cheti au hati ya msamaha wa dhambi au tiketi ya kuingia mbinguni unauziwa unalipia unapata kwa fedha yako.
Na vingine vingi aliviona Matin Luther mtiolojia...
Kwa dunia ya sasa hivi ni baadhi ya tuvitu ambavyo vinaonekana ni tudogo tudogo ambavyo ni vya kidunia ambavyo mkristo raia wa mbinguni anapaswa kuviepuka ni pamoja na

1)kujipamba kujiremba hasa wanawake kusuka ,kuvaa mawigi,mapambo,kuvaa make ups ,kujichubua,rangi za kucha kope ,kuvaa kipachika vitu bandia kuvaa vito...kuna makorokoro mengi wanayotumia mapambo kujiremba wanawake ila hizo gadgets ni maagano na kuzimu.

2)njia Uzazi wa mpango dawa za uzazi wa mpango hazizuii mimba isiingie/isifanyike (fertilization)ila zinazuia mimba isitunge (implantation) yani katika ulimwengu wa kiroho anayetumia uzazi wa mpango anahesabika amefanya UTOAJI MIMBA ni kuua ROHO ZA HIZO MIMBA(uuwaji)

3)Pombe wakristo wengi wanafundishwa mafundisho potofu kuwa pombe siyo dhambi na muna wengine wanafika mbali wanatamani hata kuoa mitaala wana amini pia kuwa na wanawake wengi mitaala ndoa za wake wengi(pombe na uzinzi mitaala ndoa za mke zaidi ya mmoja ,maoenzi ya jinsia moja na mengine yanayofanana NI DHAMBI

4)Miziki ya kidunia,tamthiliya,filamu sinema katuni,ma super hero wakidunia superman,bat man,spider man dianey na hollywood nk nyingingi sinema na miziki ya kidunia
5)sikukuu za kipagani xmas,hallowen,happy birth day,na nyongine nyingi...hata hii ya mienge kukimbiza mwenge ..nyingi sana nibfhambi
6)mavazi wanaume wasivae mavazi ya kike na wanawake wasivae mavazi ya kiume ..nguo za fasheni za kidunia ni dhambi
7)michezo kama simba na yanga,ngumi,karate,mieleka n.k olympics n.k mingi sana ni dhambi hata watunisha misuli body builders ,models na ma miss dhambi tupu
8)MIZIMU kutambika mizimu ibada za wafu kama kuomba wafu wawasaidie na kiwatambikia mizimu ni dhambi,kuchanja chale ,kwenda kwa manabii wa mafuta ya upako,waganga wa kienyeji,mafuta ya upako na vitu vya upako kitoka kwq mitume na manabii...ni dhambi
9)

Tumesikia na tunaheshimu maoni yako. Swali dogo ni hayo uliyoyatqja hapo juu ni maoni yako namna vile wewe unavyoona?
 
Kuna mambo mengi sana ya kidunia yameingizwa katika Ukristo ambayo asili yake ni UPAGANI /miungu ya kuzimu/shetani lakini yamekuwa adopted kutoka upagani(miungu ya kidunia) na kurasmishwa na kuhalalishwa katika taratibu za ibada za kikristo .

Mengine hapo zamani kidogo yalikuwa too obvious ambayo hata kichaa tu anaona huu utaratibu hautokani na Mungu bali ni wa kidunia/kipagani

..mfano zamani watu walikuwa wanauziwa vyeti vya msamaha wa dhambi unalipia unapata cheti au hati ya msamaha wa dhambi au tiketi ya kuingia mbinguni unauziwa unalipia unapata kwa fedha yako.
Na vingine vingi aliviona Martin Luther (LIUTHERAN) mtiolojia...


Kwa dunia ya sasa ,hivi ni baadhi ya tuvitu ambavyo vinaonekana ni tudogo tudogo ambavyo ni vya kidunia ambavyo mkristo raia wa mbinguni anapaswa kuviepuka ni pamoja na

1)kujipamba kujiremba hasa wanawake kusuka ,kuvaa mawigi,mapambo,kuvaa make ups ,kujichubua,rangi za kucha kope ,kuvaa kipachika vitu bandia kuvaa vito...kuna makorokoro mengi wanayotumia mapambo kujiremba wanawake ila hizo gadgets ni maagano na kuzimu.

2)njia Uzazi wa mpango dawa za uzazi wa mpango hazizuii mimba isiingie/isifanyike (fertilization)ila zinazuia mimba isitunge (implantation) yani katika ulimwengu wa kiroho anayetumia uzazi wa mpango anahesabika amefanya UTOAJI MIMBA ni kuua ROHO ZA HIZO MIMBA(uuwaji)

3)Pombe wakristo wengi wanafundishwa mafundisho potofu kuwa pombe siyo dhambi na muna wengine wanafika mbali wanatamani hata kuoa mitaala wana amini pia kuwa na wanawake wengi mitaala ndoa za wake wengi(pombe na uzinzi mitaala ndoa za mke zaidi ya mmoja ,maoenzi ya jinsia moja na mengine yanayofanana NI DHAMBI

4)Miziki ya kidunia,tamthiliya,filamu sinema katuni,ma super hero wakidunia superman,bat man,spider man dianey na hollywood nk nyingingi sinema na miziki ya kidunia
5)sikukuu za kipagani xmas,hallowen,happy birth day,na nyongine nyingi...hata hii ya mienge kukimbiza mwenge ..nyingi sana nibfhambi
6)mavazi wanaume wasivae mavazi ya kike na wanawake wasivae mavazi ya kiume ..nguo za fasheni za kidunia ni dhambi
7)michezo kama simba na yanga,ngumi,karate,mieleka n.k olympics n.k mingi sana ni dhambi hata watunisha misuli body builders ,models na ma miss dhambi tupu
8)MIZIMU kutambika mizimu ibada za wafu kama kuomba wafu wawasaidie na kiwatambikia mizimu ni dhambi,kuchanja chale ,kwenda kwa manabii wa mafuta ya upako,waganga wa kienyeji,mafuta ya upako na vitu vya upako kitoka kwq mitume na manabii...ni dhambi
9)
KWA KIFUPI VIPO VITU VINGI SANA VYA KAWAIDA tulivyovizoea kuvifanya ambavyo tumejihalalishia au tumehalalishiwa na viongozi wetu wq dini kiroho na vinafanywa hata na viongozi wa kiroho...ambavyo tuna amini na kufikiri kuwa ni halali/SI DHAMBI lakini kiroho ni DHAMBI ,tunaweza tukawa hatujui kuwa tunafanya dhambi lakini haiondoi ukweli kuwa ni dhambi..na hata viongozi wa dini au viongozi wetubwa kiroho ama nao hawafahamu ukweli au wameamua kuogopa kusema ukweli wakiogopa kupoteza waumini..
MFANO mdogo mapambo na urembo kijipamba fasheni za urembo,matumizi ya dawa za uzazi wa mpango hii dhambi IMEKAMATA SANA WANAWAKE...
wanaume wamekamatwa sana sana na MICHEZO ya sports n.k eg simba /yanga ,
POMBE ULEVI na madawa ya kulevya na vinywaji vinavyosisimua akili..na kuharibu afya ya miili utakuta vimeandikwa usinywe zaidi ya mbili ENERGY DRINKS..n.k

michezo ya kamari kubeti kubahatisha n.k

,UZINZI ndio kama kifungua kinywa chai tu uzinzi imekuwa kama ni sifa kwa wanaume.

Watoto wamekamatwa sana na TV sinema za makatuni yenye kuonyesha themes na characters ambao ni mapepo ..hasa makatuni mengi sana ..hata haya ma super heros ma Spider man,super man n.k hata tu keki twao tumepambwa spider man,lile spiderman ni li pepo demon au lLIJINI hadi tu nguo twq spiderman.

FAZA XMAS santa kluiz lile ni li pepo..lijini ..kusherehekea XMAS ni UPAGANI ni sherehe za kipagani ni dhambi...
Hizi ni baadhi ya dhambi chache tu ambazo zinaonekana ni halali tu.

View: https://youtu.be/EgkXodTKSrY?si=wvMsRBI82dMqSeXq
 

Attachments

  • images - 2024-12-20T234143.515.jpeg
    images - 2024-12-20T234143.515.jpeg
    38.9 KB · Views: 3
  • images - 2024-12-20T234627.754.jpeg
    images - 2024-12-20T234627.754.jpeg
    81.7 KB · Views: 4
  • images - 2024-12-20T234453.709.jpeg
    images - 2024-12-20T234453.709.jpeg
    55.7 KB · Views: 3
  • images - 2024-12-20T234438.818.jpeg
    images - 2024-12-20T234438.818.jpeg
    35.8 KB · Views: 4
Unajua ukitaka kugombana na wajinga wa dini uwaeleze ukweli?
Haya makanisa bandia yote yatakufa. Sio wivu, ila ni ukweli mtupu. Hayana vision wala mission. Ukweli na uongo huwa una tabia ya kujitenga

Yatakufa kama ilivyo desturi ya waAfrika kuaamzisha vitu ambavyo havina maelekezo ya namna ya kufanya. Jinsi biashara za waAfrka zinavyokufa baada ya wenyewe kufa. Ndiyo makanisa hayo yatakavyokufa baada ya waanzilishi wake kufa.
 
Kadri siku zinavyoendelea, jinsi inavyozidi kunyesha ndio tunaona panapovuja.

Ukristu huu wa kujianzishia makanisa tunavyotaka, umegeuza makanisa kuwa sehemu ya upigaji na wizi, na sehemu ya kula hela za wengi wenye mahangaiko na wasiojitambua.

Kuna wakati inaonekana ni biashara especially barani Africa.

Kwa mfano, hivi kanisa la TB Joshua bado lipo? Linaendeleaje? Mbona baada ya yeye kufa na kanisa nalo limekufa?
Africa inarudi ilikokuwa.
 
Kadri siku zinavyoendelea, jinsi inavyozidi kunyesha ndio tunaona panapovuja.

Ukristu huu wa kujianzishia makanisa tunavyotaka, umegeuza makanisa kuwa sehemu ya upigaji na wizi, na sehemu ya kula hela za wengi wenye mahangaiko na wasiojitambua.

Kuna wakati inaonekana ni biashara especially barani Africa.

Kwa mfano, hivi kanisa la TB Joshua bado lipo? Linaendeleaje? Mbona baada ya yeye kufa na kanisa nalo limekufa?
Kabisa la TB Joshua halijafa mkuu,labda wewe ndo umekufa,fatilia vizuri.

Zamani Emmanuel Tv ambayo ndio channel inayoonyesha ibada za kanisa la TB JOSHUA ilikuwa inaonekana DSTV,,lakini DSTV walizuia kurusha ibada zao.
Saivi ukitaka kuona ibada za kanisa la TB Joshua tafuta kisimbuzi(decoder) ambayo inanasa free channels,,,(free digital decoder). haf utafute Emmanuel Tv,,utaliona kanisa linavyozidi kunawili
 
Kuna mambo mengi sana ya kidunia yameingizwa katika Ukristo ambayo asili yake ni kuzimu/shetani lakini yamekuwa adopted kutoka upagani(miungu ya kidunia) na kurasmishwa na kuhalalishwa katika taratibu za ibada za kikristo
Mengine yalikuwa too obvious ambayo hata kichaa tu anaona huu utaratibu hautokani na Mungu bali ni wa kidunia ..mfano zamani watu walikuwa wanauziwa vyeti vya msamaha wa dhambi unalipia unapata cheti au hati ya msamaha wa dhambi au tiketi ya kuingia mbinguni unauziwa unalipia unapata kwa fedha yako.
Na vingine vingi aliviona Matin Luther mtiolojia...
Kwa dunia ya sasa hivi ni baadhi ya tuvitu ambavyo vinaonekana ni tudogo tudogo ambavyo ni vya kidunia ambavyo mkristo raia wa mbinguni anapaswa kuviepuka ni pamoja na

1)kujipamba kujiremba hasa wanawake kusuka ,kuvaa mawigi,mapambo,kuvaa make ups ,kujichubua,rangi za kucha kope ,kuvaa kipachika vitu bandia kuvaa vito...kuna makorokoro mengi wanayotumia mapambo kujiremba wanawake ila hizo gadgets ni maagano na kuzimu.

2)njia Uzazi wa mpango dawa za uzazi wa mpango hazizuii mimba isiingie/isifanyike (fertilization)ila zinazuia mimba isitunge (implantation) yani katika ulimwengu wa kiroho anayetumia uzazi wa mpango anahesabika amefanya UTOAJI MIMBA ni kuua ROHO ZA HIZO MIMBA(uuwaji)

3)Pombe wakristo wengi wanafundishwa mafundisho potofu kuwa pombe siyo dhambi na muna wengine wanafika mbali wanatamani hata kuoa mitaala wana amini pia kuwa na wanawake wengi mitaala ndoa za wake wengi(pombe na uzinzi mitaala ndoa za mke zaidi ya mmoja ,maoenzi ya jinsia moja na mengine yanayofanana NI DHAMBI

4)Miziki ya kidunia,tamthiliya,filamu sinema katuni,ma super hero wakidunia superman,bat man,spider man dianey na hollywood nk nyingingi sinema na miziki ya kidunia
5)sikukuu za kipagani xmas,hallowen,happy birth day,na nyongine nyingi...hata hii ya mienge kukimbiza mwenge ..nyingi sana nibfhambi
6)mavazi wanaume wasivae mavazi ya kike na wanawake wasivae mavazi ya kiume ..nguo za fasheni za kidunia ni dhambi
7)michezo kama simba na yanga,ngumi,karate,mieleka n.k olympics n.k mingi sana ni dhambi hata watunisha misuli body builders ,models na ma miss dhambi tupu
8)MIZIMU kutambika mizimu ibada za wafu kama kuomba wafu wawasaidie na kiwatambikia mizimu ni dhambi,kuchanja chale ,kwenda kwa manabii wa mafuta ya upako,waganga wa kienyeji,mafuta ya upako na vitu vya upako kitoka kwq mitume na manabii...ni dhambi
9)
Hivyo vyote ni vitu vya kubuni na kujitungia tu, waweza kuvifuata au kuacha navyo anayevifuata na asiyevifuata wote mko sawa tu.Mwisho wenu ni mmoja tu.
 
Ukiangalia kwa jicho pevu karibu viongozi wote wa juu wa makanisa haya yanayojiita ya kiroho hawana maono ya kweli, wanajitungia mambo yao nje na misingi ya imani ya kipentekoste. Kuna wengine wanaongoza kwa idea za kisiasa
 
Back
Top Bottom