Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Huyo HuyoHivi ndo magembe yule. Anatukana sana wenzake akiwa rnahubiri kwenye sinagogi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo HuyoHivi ndo magembe yule. Anatukana sana wenzake akiwa rnahubiri kwenye sinagogi
Ilikuwaje?Na jana ametolewa kwa nguvu pale alipokuwa anaendesha ibada zake njiapanda ya segerea (zamani NMC )
Je removal yake inahusiana na yeye kujitoa T.A.G?
Unauliza kanisa la TB JOSHUA kuwa lipo au la ,then unahitimisha kuwa limekufa! 😒Kadri siku zinavyoendelea, jinsi inavyozidi kunyesha ndio tunaona panapovuja.
Ukristu huu wa kujianzishia makanisa tunavyotaka, umegeuza makanisa kuwa sehemu ya upigaji na wizi, na sehemu ya kula hela za wengi wenye mahangaiko na wasiojitambua.
Kuna wakati inaonekana ni biashara especially barani Africa.
Kwa mfano, hivi kanisa la TB Joshua bado lipo? Linaendeleaje? Mbona baada ya yeye kufa na kanisa nalo limekufa?
Hayo mambo yapo katika ukisto tuu.Dini ni siasa ya kale iliyovishwa joho la utakatifu feki wa Mungu asiyethibitishika.
Ukishaelewa haya, hayo mengine yote hayatakushangaza.
A Cha uongo aliekwmbia SCOAN limekuf ni nani.... Mbona una chuki na Kanisa la TB Joshua nduguKadri siku zinavyoendelea, jinsi inavyozidi kunyesha ndio tunaona panapovuja.
Ukristu huu wa kujianzishia makanisa tunavyotaka, umegeuza makanisa kuwa sehemu ya upigaji na wizi, na sehemu ya kula hela za wengi wenye mahangaiko na wasiojitambua.
Kuna wakati inaonekana ni biashara especially barani Africa.
Kwa mfano, hivi kanisa la TB Joshua bado lipo? Linaendeleaje? Mbona baada ya yeye kufa na kanisa nalo limekufa?
Mathayo 13Mchungaji mwenye msimamo mkali inapokuja suala la kumtumikia Mungu aliye hai Rev. Moses Maghembe ameamua kujiondoa kuwa chini ya usimamizi wa kanisa la mahali pamoja laTanzania Assemblies of God T.A.G
Kama ilivyokuwa kwa wajina wa Maghembe, alikuwepo Moses Kulola ambaye alijitenga na T.A.G na kuanzisha E.A.G.T kwa kutokukubaliana na baadhi ya misingi ya kanisa haswa inapokuja suala la kumtumikia Mungu ipasavyo. Wengi tunafahamu uhodari wa Moses Kulola na huduma yake katika kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.
Rev. Maghembe ndiye mchungaji pekee alikuwa na uthubutu wa kukosoa uongozi wa askofu Mkuu wa kanisa la T.A.G Dr. Barnabas Mtokambali. Alikosoa kitendo cha kanisa la kiroho kutoa tuzo ya amani kwa mwendazake wakati matukio ya mauaji yalikuwa juu.
Pia alikosoa waziwazi maadhimisho ya chama cha vijana ndani ya kanisa C.A.S yaliyofanyika Iringa kwa kufanya bonanza la mpira wa miguu. Maghembe alidai ile siyo njia ya kuhubiri injili ila ni kuishiwa kwa maono na kanisa kuanza kuiga mambo ya kidunia, kanisa linatakiwa kuleta athari duniani na siyo dunia ilete athari kanisani
Kuwa na ministry binafsi au kuwa chini ya uongozi. Wewe uko upande gani?
View attachment 3180718
Aingie mtandaoni au acheck Emmanuel tv king'amuz cha AzamUnauliza kanisa la TB JOSHUA kuwa lipo au la ,then unahitimisha kuwa limekufa! 😒
Unauliza kanisa la TB JOSHUA kuwa lipo au la ,then unahitimisha kuwa limekufa! 😒
Wote mmeoza sijaona msafi wa kujiita Msafi.huyo anayemiliki baa ni gugu shambani mwa Bwana
wasafi wapoWote mmeoza sijaona msafi wa kujiita Msafi.
TAG imekuwa kama serikali, wanahamisha wachungaji hapa na pale, unakuta mchungaji ame hustle kuanzisha tawi yeye na mke wake, tawi likishajaa waumini na kupendeza anahamishwa kwingine akapambane na mazingira mengine mapya. Ukiwa na elimu ndogo ya shule huwi mchungaji. Elimu ya chini ni sekondari na ukasome chuo cha biblia upate diploma hadi degree hapo ndio utafaa vema kuwa mchungaji. Kama ni hivyo wakaongoze wasomi wenye elimu kubwa. Ndugu zao kina EAGT na FPCT nao wamewaiga, wana katiba, sera na mielekeo ya kidunia kama serikali tuKama mzee ametoka TAG manake ameona TAG imepotoka inaenda na usasa na kuacha njia ya injili. Mafundisho kuwa ya kimwili zaidi basi hakuna kanisa au dhehebu lililobakia
JamiiCheckUMEPOTOSHWA NA WEWE UNATUPOTOSHA;
Ukweli ni huu;
Aliyejitoa TAG ni Mch. MAJEMBE ni mkufunzi wa chuo cha biblia Dodoma
Mmoja kati ya Quadrillionwasafi wapo
Apogee hela kutoka wapi. Wengi hawajui kuwa kazi ta kanisa ni ngumu sana hususan ukianza kanisa jipya. Likishapata jina ndipo linapata watu na likiwa na watu wengi ndivyo na mapato huongezeka. Wachungaji wa makanisa madogo wanapitia maisha magumu sana. Wanahitaji kuombewa na kupara sapoti!Hapo anawaza kuanzisha la kwake apige hela
Toa sabato hapo, usifananishe kanisa na viatu vya ajabu, zaidi ya siku wana kingine cha kuhubiri? Labda kuita ukatoliki mnyama
Taja Makanisa yako sasa.kinyume chake, uliyoyataja Mungu alishayaacha yajiendee, hayana wokovu, ni dhambi tupu kule gizani
Nimeripoti JamiiCheck naona kuna uzembe