Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

7-jan 18 siku moja kabla ya shule kufunguliwa sio kila la kheri
 
Achen nyie hivi vitu vinauma sana, mi ni mwaminifu sana kwa huyu mwanamke, sijawahi wala kuwaza kumcheat.. nampa hela na mahitaji yote nampa, wazee nilikuwa namuona kama wife soon anahamia kwangu kihalali alafu yeye ananiletea uboya, huu si ufala huu.. atalipia
 
RETALIATION IS A MUST!

Naunga mkono mpango mkakati, hakuna tabia inayoumiza kama unafiki wa mapenzi...

Wanawake mjifunze ukiwa na mtu amekuamini na kujitolea kufanya lolote kwa ajili yako na ukaridhia kuwa unampenda kweli hutasaliti basi uwe na msimamo thabiti juu ya hilo, kusema hapana ama ku block contact na kumripoti mtu yeyote atakaeyumbisha msimamo wako ni swala la kuzingatia. Shida wanawake wengi sikuhizi ni mama huruma na wanahisi ni rahisi ku cheat pasi na kukamatwa!
 
Hivi huyu anayependa side si shoga huyo atashindwaje kula dume lenzake aisee dunia imevaa chupi sio sket tena na sio muda itakua uchi mtoto kugonga mama yake itakua normal mtoto wa kiume kugongwa na baba yake itakua normal kama chet cha bachiteee
 
Andika wosia wako maana segerea itakuhusu au Binti atakufanyia kitu mbaya mara dufu ya unachopanga kumfanyia.

Japo utafanikiwa kwa siku hiyo ila na wewe atakufanyizia tu.

Karma ni mbwa.
 
Hii inaitwa Operation Fundisho
Active Status : Mission is a Go
By 8th January 2018: Mission Successful
Naunga mkono maamuzi yako ndugu, Hakuna kumuacha kirahisi rahisi tu lazima afundishwe kitu kwamba good man sio mtu wa kumchezea na ukionyeshwa kupendwa basi ridhika na ukipatacho. Mpe fundisho la haja kiasi kwamba hata kama akipata tena good man hatorudia uchafu wake na akili itamkaa sawa. Maamuzi yako ni sahihi kutokana na maumivu unayopata ya kuchezewa akili, hisia na moyo wako.
I repeat Mission Is A Go.
Nasubiri mrejesho
Over and Out
 
This won't end well... I can imagine. Binti akijiua huwezi kutafutwa kweli ? Na vile ushatoa clue humu hawa wanaoshabikia ndo wakwanza kukukataa baadae. Siungi mkono anayoyafanya huyo dada lakini angalia usiharibu future yako kwa ajili ya mwanamke. Unaweza kumpa somo zuri lakini angalia consequences.
 
Mkuu huwezi amini.. huyu mwanamke, nampa kila kitu, we jua hivyo. Simu, nguo had za ndani.. dadeki
 

Ila mwana Ni kweli ulikuwa una muhudumia shemeji?!! Maana kuliwa kwa 70,000 ni dharau ujue na mtandao pendwa atoe kwa 100,000.

Najua umeleta hapa ili tukufariji sasa wanaume ambao wanatenda wasemayo huwa hawapo hivyo, wewe ungesubiri Jan ufanye tukio halafu ndio uje hapa kutuelezea.

Kwahiyo Tarehe 22 shemeji anaenda kuliwa mtandao pendwa [emoji23]
 
Andika wosia wako maana segerea itakuhusu au Binti atakufanyia kitu mbaya mara dufu ya unachopanga kumfanyia.

Japo utafanikiwa kwa siku hiyo ila na wewe atakufanyizia tu.

Karma ni mbwa.
Mkuu mi mafia, nyoko ila mbaya, na huwa sipendi mtu acheze na furaha yangu.. na bahati nzuri tangu mapema nilimtahadharisha.. ananiona mi boya eti.. lolote liwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…