stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,226
- 5,147
mbona una maneno hivyo jamani? mwambie naanza gym kesho maana huku nyuma kumekuwa sana nataka kupungua kidogo, baada ya tukio aje kwangu sitamuumizaMapenzi ya kibongo usiwekeze moyo wako utajuta, Wekeza nywele Na kucha hata vikikatika vitaota tena.
Tumia akili kuishi Na mwanamke usitumie moyo
Hahaha yani kama kwenye siasaKwa hizi details za mpk tarehe ya kutambulishwa. Bi mdada atapata hizi taarifa na utapigwa kibuti kabla ya hiyo tarehe. Pole though.
Umeonaee,wenyewe wanakuwa wachungu kweeli,Inapendeza kuona mwanaume kaonjeshwa cha mtema kuni...
Cc Heaven Sent
Mkomeshe mungu ndo mtoa hukumu, wasikutishe, huwezi kujinyima afu MTU mwenyewe bureePata picha alafu unamkuta ma mwingine, vipi... we ngoja tar.07 si inakuja
Dawa ya moto ni motooooooMkaushie2
Sio uhungwana kumuharibia mtu maisha yake kisa hasira zako
Amekuumiza sawa lkn c kwa kuonesha mambo yake ya siri mbele za hao wote
Bora ufanye ata kwa wazaz pekee ila sio mbele ya kadamnasi
Baba swalehe APA kamoyo kako kameponapona afadhali baada ya kuona kumbe sio wewe tuu umeumizwa...mama swalehe hajarudi tuu hata kuomba kamsamaha?? Watu wa hivi huwa wanalipwa hapa hapa duniani utakuja kutuambia tu yatakayomkuta mama swalehe.Aisee tuandae sherehe kwa ajil yako mkuu baada ya hilo tukio
Unacopy story ndeeefuu kwa comment kiduchuDuu...... Aaaaya bhana
Nenda mbali zaid kuwa baada ya kumuumbua mbele ya kadamdas hao utapata faida kiasi gani au hasara kiasi ngapi.Sasa kama unajua hautaki ushauri umeweka thread hapa ili iweje? Au ndo unataka tukusaidie kukupatia namba za wapiga picha waje siku ya tukio!
Tunasubiria part 2 tujue kilitokea kitu gani but be very careful
Happy new year in advance
Duh,,sipati picha hali ya bi harusi ilikuwaje.!Kaka yangu alishawahi kufanya hivi siku ya harusi yake....[emoji26][emoji22][emoji26][emoji22][emoji22]
Ilikuwa mbaya sanaaaa,sitaki hata kukumbuka kabisaaaa....
Huyu mlengwa asipojiua basi itakuwa Bahati saana, Mungu aepushe hiyo. Nawaza tu.Kaka yangu alishawahi kufanya hivi siku ya harusi yake....[emoji26][emoji22][emoji26][emoji22][emoji22]
Ilikuwa mbaya sanaaaa,sitaki hata kukumbuka kabisaaaa....