Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Mwanamke ni kama sahani ya hotelini tu.
Mteja akimaliza kula inaoshwa anawekewa mteja mwingine

Mkuu hio tarehe mimi naona ipo mbali saaaana
Ungefanya hata kasherehe ya kifamilia ya pande zote mbili ukamwaga manyanga hapohapo
Kwakua yeye aliumwaga Ugali na wewe mwaga Mboga[emoji1321]
 
Mkaushie2
Sio uhungwana kumuharibia mtu maisha yake kisa hasira zako
Amekuumiza sawa lkn c kwa kuonesha mambo yake ya siri mbele za hao wote
Bora ufanye ata kwa wazaz pekee ila sio mbele ya kadamnasi
Dawa ya moto ni motoooooo
 
Tarehe saba..binti ana diploma...wanatumiana msg kwa fb messenger..connect the dot lazima muhusika ajijue
 
Aisee tuandae sherehe kwa ajil yako mkuu baada ya hilo tukio
Baba swalehe APA kamoyo kako kameponapona afadhali baada ya kuona kumbe sio wewe tuu umeumizwa...mama swalehe hajarudi tuu hata kuomba kamsamaha?? Watu wa hivi huwa wanalipwa hapa hapa duniani utakuja kutuambia tu yatakayomkuta mama swalehe.
 
Sasa kama unajua hautaki ushauri umeweka thread hapa ili iweje? Au ndo unataka tukusaidie kukupatia namba za wapiga picha waje siku ya tukio!

Tunasubiria part 2 tujue kilitokea kitu gani but be very careful

Happy new year in advance
Nenda mbali zaid kuwa baada ya kumuumbua mbele ya kadamdas hao utapata faida kiasi gani au hasara kiasi ngapi.
Je umechukua tahadhar y akifuatacho baada,ya kumuumbua?

*Tafakari*
 
Kaka yangu alishawahi kufanya hivi siku ya harusi yake....[emoji26][emoji22][emoji26][emoji22][emoji22]
Ilikuwa mbaya sanaaaa,sitaki hata kukumbuka kabisaaaa....
Duh,,sipati picha hali ya bi harusi ilikuwaje.!
 
Kaka yangu alishawahi kufanya hivi siku ya harusi yake....[emoji26][emoji22][emoji26][emoji22][emoji22]
Ilikuwa mbaya sanaaaa,sitaki hata kukumbuka kabisaaaa....
Huyu mlengwa asipojiua basi itakuwa Bahati saana, Mungu aepushe hiyo. Nawaza tu.
 
Huwezi tena kumuumiza mkuu coz ashasoma hii thread yako hapa!! Na JF yupo pia kama hukua ukijua
 
Back
Top Bottom