Rias Samia kununua kila goli la Yanga kwa Tsh. Milioni 20

Rias Samia kununua kila goli la Yanga kwa Tsh. Milioni 20

Sawa azindue tu ila hali ya uchumi mbaya.
 
Kabisa yaaan make siku Ile sikuona hata mtu mmoja aneyesema Kwa nini magufuli azinduwe kiwanda Cha Azam kwanini asingeenda waziri wa viwanda.
Na nashukuru mungu zile ekari za aridhi zaidi ya 10,000 alipewa na magufuli agepewa na Raisi mgine kikwete au Samia pasingetosha sijui kama hiyo vita ingeisha mpaka leo loh!!! roho mbaya umasikini na chuki za kidini ndo tatizo kubwa hapa kwetu.
 
Na nashukuru mungu zile ekari za aridhi zaidi ya 10,000 alipewa na magufuli agepewa na Raisi mgine kikwete au Samia pasingetosha sijui kama hiyo vita ingeisha mpaka leo loh!!! roho mbaya umasikini na chuki za kidini ndo tatizo kubwa hapa kwetu.
Kweli kabisa umenena vyema mkuu
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Uzinduzi wa Mradi wa Minara ya Kurusha Matangazo ya Televisheni Ardhini(DTT) ya Kampuni ya Azam Media Limited, Makao Makuu ya Azam Media Limited- Tabata Dares Salaam leo tarehe 18 Mei, 2023.

Kila la heri

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Uzinduzi wa minara ya digital terrestrial television (DTT) transmitter network.

The uplink of Azam Media channels to satellite, which are then received by DTT towers for terrestrial transmission.

This ensures that all Tanzanian households have access to high-quality television at a minimal cost.

Leading in technology deployment and coverage using the latest standards in DVB-S2 and DVB-T2, ADBL will continue expanding its terrestrial infrastructure to reach remote areas.

Using state-of-the-art Downlink and Uplink Head End facilities and Network Operator Centres (NOC), we are responsible to manage and maintain the network and infrastructure of both DTH and DTT platforms.

Azam Digital Broadcast Limited (ADBL) has made significant investments in the deployment of DTT Towers and top-of-the-line equipment with its network situated in 26 strategic locations across Tanzania.

Source : https://bakhresa.com/azam-digital/
Kwa muktadha huu, mvua zikinyesha tunaona clear tofauti mwanzo kukatika katika
 
Kutwa Kucha kujikomba kwa watu matajiri.
Huku wananchi wako wakifa njaa.

Hayo mambo Uzinduzi wa ''Mradi wa Minara ya Kurusha Matangazo ya Televisheni Ardhini(DTT)'' Waziri wako wa mambo ya habari anafanya kazi gani?​
Hata waziri hatakiwi kufanya ujinga kama huu. Hii ni kazi ya mwenye mnara.
 
Roho mbaya inasababishwa na umasikini wa roho na mwili ndo maana chuki nyingi kwa wale walionacho, bila hata sabab za msingi.
Wana sababu za msingi bila shaka. Wamesahauliwa na serikali yao. Hili ni jambo linaweza kutokea kwa binadamu yeyote.
 
Hiyo Minara itakuwa wapi ? Yaani sehemu gani ? Kuna mambo mawili

Moja Minara hii inafaa iwe mbali na makazi

Mbili: ili kuepukana na minara kila sehemu hawa watoa huduma wangeanza ku-share minara hio ama sivyo tunaweza tukapunguza uzuri wa mandhari kwa kuwa na utitiri wa minara

Ila sababu sijafanya upembuzi yakinifu huenda haya yote ninayohofia yameshafanyiwa kazi kwahio statement yote hapo juu ni void....
 
Huyu chalamila kaijua lini dar?, maana kadadavua mambo kadhaa hapa kanifurahisha sana kwakweli.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Uzinduzi wa Mradi wa Minara ya Kurusha Matangazo ya Televisheni Ardhini(DTT) ya Kampuni ya Azam Media Limited, Makao Makuu ya Azam Media Limited- Tabata Dares Salaam leo tarehe 18 Mei, 2023.


These things, petty issues are below her dignity as a President of a nation! Cheap popularity! Mdude_Nyagali
 
Kutwa Kucha kujikomba kwa watu matajiri.
Huku wananchi wako wakifa njaa.

Hayo mambo Uzinduzi wa ''Mradi wa Minara ya Kurusha Matangazo ya Televisheni Ardhini(DTT)'' Waziri wako wa mambo ya habari anafanya kazi gani?​
we mjinga. unajua azam analipa kiasi gan cha kodi? kwahiyo asingeenda hapo wanachi wasingekufa na njaa. Aya we mjinga twambie ni mkoa gan watu mamekufa kwa njaa?
 
Tido Mhando anapaswa astaafu, aachie madaraka kwa damu changa sasa. Umri umekwenda sana na ameanza kupoteza consistence hata kwenye kusoma.

Tindo Mhando exposure na ujuzi wake wa kuendesha kampuni ya televisheni kisasa zaidi hauna mfano.

Tido Mhando bado ana mentor /fundisha / kuwapa maujuzi ya kimataifa vijana hivyo kwa sasa ili matangazo ya televisheni ya Tanzania yafikie kiwango cha ubora wa South Africa, Kenya, Nigeria, Brazil n.k bado tunamuhitaji sana Tido Muhando ili kuiinua Tanzania ionekane kwa ubora zaidi ndani na nje ya mipaka.

Itapofika wakati muafaka wa Tido Mhando kuachia ngazi bodi ya wakurugenzi makini ya Azam Group na Azam Digital Broadcast Limited (ADBL) zitafanya maamuzi.

Visheni na uwekezaji wa kisasa unahitaji usimamizi kutoka juu ulio makini na wenye weledi mwingi wa aina ya Mzee Tido Mhando..

VIDEO IKIONESHA SIKU YA INJINIA WA MATANGAZO AZAM TV INA MAJUKUMU GANI PAMOJA NA VITENDEA KAZI


Source : LeonardShayo
 
Tanzania inaenda kuwa na Satelite yake, Samia kasema.
 
Back
Top Bottom