Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora maburungutu uongo!?Sijui bora yule aliyekuwa anagawa tu maburungutu njiani au mimi sielewi....dah!
Mgomo wa Kariakoo umeenda viral hadi vyombo vya habari za west zimelipoti.Ila hao Yanga kwa kuitangaza Tanzania kwa kiasi hiki, hata tungekuwa na bilioni 100 tusingeweza kuwalipa vyomba vya habari vya kimataifa kuitangaza kama wanavyofanya Yanga free of charge.
Hii itakuza utalii na uwekezaji, hizo pesa zote zitarudi.
Hakuna cha ajabu hapo. Ni kawaida aliyefanya jitihada kusaidiwa ili apige hatua zaidi.Kwa maamuzi hayo ya Ms Tozo nachelea kusema mama Tozo hana muda na changamoto za anaowaongoza.
Kwakua mods hawazitambui hizo timu [emoji38]We uliwahi kuona wapi mechi imeisha lakini live alert iko active zaidi ya masaa 10?
Hiki kitu hata mods bado kimewaduwaza
THERAFOO, all people have nothing...People who have idea have no power... people who have power ,have no idea
Mpira ulopigwa ulikuwa ni wa galaxy nyingine ilikuwa ni dharau kuzima alert liveKwakua mods hawazitambui hizo timu [emoji38]
Si kweli mpira ulikua upande mmoja asec mimosas walienda kinyonge sana ni kama walishakubali Ku giveupMpira ulopigwa ulikuwa ni wa galaxy nyingine ilikuwa ni dharau kuzima alert live
Sioni kosa kwenda kuzindua hata kama ni kwa udogo gani. Hayo ndio mambo raisi anapaswa kuyafatilia kwa ukaribu, haata akienda kuzindua duka kariakoo bado sioni tatizo.Kutwa Kucha kujikomba kwa watu matajiri.
Huku wananchi wako wakifa njaa.
Hayo mambo Uzinduzi wa ''Mradi wa Minara ya Kurusha Matangazo ya Televisheni Ardhini(DTT)'' Waziri wako wa mambo ya habari anafanya kazi gani?
Acha wivu najua inauma kisa 🦁 wewe🤔Kwa maamuzi hayo ya Ms Tozo nachelea kusema mama Tozo hana muda na changamoto za anaowaongoza.
Doh!.Taifa limekosa muelekeo,kuzaliwa Tanzania ni Laana.
Uliona header ya kikatili aliyopiga yule mchizi?Si kweli mpira ulikua upande mmoja asec mimosas walienda kinyonge sana ni kama walishakubali Ku giveup
Ameokoka Mkuu . ...Yupo kwa MwamposaChalamila akitoka hapo aje hapa kitambaa cheupe tumpe bia za kumkaribisha dar
[emoji23][emoji23][emoji23] makolo bhana, njoo kwa mkapa tar 28
Naona umemmisi mwenda zake, unatokwa pozi hatari, nenda Kwa Nyerere muigiziaji wa sauti, akupatie japo scene moja ya sauti ya mwenda zake. Nadhani iyo itakusaidiaSasa me najiuliza mbona enzi za Mwendazake hawakuwahi kumuita kuzindua vitu kama hivi.... Yan kila siku kuzindua taka taka mpya tu..
Kazi kweli kweli