FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Tutakapofika klabu bingwa ya Dunia ndio utaelewaMgomo wa Kariakoo umeenda viral hadi vyombo vya habari za west zimelipoti.
Yanga ni kisehemu kiduchu sana kwenye influence ya kutangaza nchi, Yanga inatangaza nchi kwenye nchi ambazo tayari wanatujua sasa hiyo ndio nini?
We leo unaenda South Africa unasema umeitangaza nchi? South Africa ambayo tangu enzi za Nyerere hawajapata uhuru walikuwa wanaijua Tanzania nje ndani afu we leo unasema Yanga kaitangaza nchi....aaah come on eb tuache masihara basi
Klabu bingwa ya Africa imekushinda ndio iwe ya Dunia?Tutakapofika klabu bingwa ya Dunia ndio utaelewa
AhahahKwa mpira niliouona jana wa USM Alger hiyo ahadi Raisi hata angesema 20M kwa kila on target bado ingekuwa mtihani
Ahahahahahaa nahisi wewe ni kolo..!!! Unapoitangaza nchi ukiwa sehemu fulani, huwatangazii wananchi wa nchi uliyopo pekee..!!! Hadi walioko nje ya nchi unakoitangaza nchi yako wanapata habari..!! Hebu fikiria, wapenzi wa USMA hawajafuatilia..???Mgomo wa Kariakoo umeenda viral hadi vyombo vya habari za west zimelipoti.
Yanga ni kisehemu kiduchu sana kwenye influence ya kutangaza nchi, Yanga inatangaza nchi kwenye nchi ambazo tayari wanatujua sasa hiyo ndio nini?
We leo unaenda South Africa unasema umeitangaza nchi? South Africa ambayo tangu enzi za Nyerere hawajapata uhuru walikuwa wanaijua Tanzania nje ndani afu we leo unasema Yanga kaitangaza nchi....aaah come on eb tuache masihara basi
USM ALGER wataifualitia Yanga hawajafuatilia nchiAhahahahahaa nahisi wewe ni kolo..!!! Unapoitangaza nchi ukiwa sehemu fulani, huwatangazii wananchi wa nchi uliyopo pekee..!!! Hadi walioko nje ya nchi unakoitangaza nchi yako wanapata habari..!! Hebu fikiria, wapenzi wa USMA hawajafuatilia..???
Joined at........Yesterday at 6:08 PM...Naona umemmisi mwenda zake, unatokwa pozi hatari, nenda Kwa Nyerere muigiziaji wa sauti, akupatie japo scene moja ya sauti ya mwenda zake. Nadhani iyo itakusaidia
Miziki na mpira ndiyo kipaumbele namba moja yetu sahv [emoji1]Taifa limekosa muelekeo,kuzaliwa Tanzania ni Laana.
Uterezi vip, mbogo na pisi kali hawezi kuachana fanya tafiti zaidiMiziki na mpira ndiyo kipaumbele namba moja yetu sahv [emoji1]
Ova
Serikali inawekeza nguvu na rasilimali nyingi kutekeleza wrong prioritiesKuna mamia ya mabango ya gharama kubwa yenye kumsifia kila mkoa yamesambazwa barabarani
👍Serikali inawekeza nguvu na rasilimali nyingi kutekeleza wrong priorities
Wanajuwa huko ndiko watu wengi wafuatiliaaaSerikali inawekeza nguvu na rasilimali nyingi kutekeleza wrong priorities