uyo ndo alikuwa boss wao
mambo yakipinda ndani ya miezi3 tu watazirudia
Ujinga na ulimbukeni wa mwafrika fukara aliyepataDaah watu wana kufuru na hela aisee
Bank inanidai ulipo tupo, bodi inanidai mkopo wa elimu ya juu.
Mtaani nilikopa laki nne niliikopa kwa riba ya laki na ishirini, sasa hivi nalipa hiyo riba tu . Deni bado.alafu nyie mnaitaja 30m
Naona umetumia njia ndefu 'kuwaelezea'!Kijiografia Uganda na Kagera (Bukoba) ni sehemu moja.Nyerere tu alilazimisha kuichukua Kagera kutoka Uganda na kuileta Tanganyika.
Idd Amin alikuwa sahihi kuing'ang'ania Kagera...Ili kumfahamu vizuri mtu mweusi wa Afrika,na hasa "MBANTU" wa "Interlacustrine Region" yaani eneo la Banyankole,Buganda na Kagera...Basi pitia tu hata hints za "CULTURAL ANTHROPOLOGY"
Hata Wazungu waliokuja kama Wapelelezi waliliona hili linalofanywa na hawa "Rich Gang Members".Mmisionary alipokuja Tanganyika kutokea Zanzibar,aliruka mikoa yoooote,akaweka makazi kwanza pale "Rubya-Bukoba" kabla ya kwenda sehemu nyingine.Aliisoma vema report ya wale "Explorers"
ndio hivoUjinga na ulimbukeni wa mwafrika fukara aliyepata
HahahahaSasa milioni 30 ya uganda si ni 5000 ya bongo hii ni exchange rate ya 2015 inawezekana ikawa hata 3500
Kwa kweli.......zinamsaidia nini sasa hizo hela huko kaburini... mmmmh
....ni wajinga na wapuuzi Tu Ndio watasapoti hui ujuha.... hopeless
Kwa kweli
Dah mkuu always you are the first to reply.... HahahaDaah watu wana kufuru na hela aisee