Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upumbavu huu Uganda kwao watu wanakufa kwa njaa mpaka wanachemsha majani ili wasife wao wanafukia pesa ili zioze
Wanatambika hao...
Waafrika shida sana...sipati jamaa angekua na pesa mfano kama Billgates...?
Mkuu ina maana ww umeamua kujiajiri humu!?
Washitakiwewanazitoa toka kwenye mzunguko
Acha kuzipangia matumizi Pesa za mwanaume mwenzioSasa familia ngapi wenye hali duni wangenufaika na hizo hela. Ningefurahi Museveni angelizungumzia hilo, na wote waliofanya hivyo kuchunguzwa walivyo zipata hizo hela, maana hawana uchungu nazo na sio watu wenye huruma ama imani
Uliowahi kukutana nao au ulowahi kuusikia!??Huu ndio ujinga wa kiwango cha juu niliowahi kukutana nao
Yapi njia ya kwenda Kabellele, njia panda ya kwenda Jinja, mita 200 toka round about.Mwenye kujuwa haya makaburi yako sehemu gani tafadhali anipe picha kamili maana huu ukata nilionao lazima nishughulikie hizi pesa. Niko hapa Kagera nasubiri meli ya leo usiku kuelekea Kampala.
Kiongozi watu wana hela wacha watumie.Sasa familia ngapi wenye hali duni wangenufaika na hizo hela. Ningefurahi Museveni angelizungumzia hilo, na wote waliofanya hivyo kuchunguzwa walivyo zipata hizo hela, maana hawana uchungu nazo na sio watu wenye huruma ama imani