Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

Nashukuru kuniweka meza moja na SHIFFU, MASTERRR DOUGIE, ila nasikitika kukwambia mimi level zile bado sijafika, najikongoja. Sio kesi sanaa maana Master nae ni TEAM MANGE. Mange ndo kubwa letu la maadui. Msione sijamsapoti kwenye Bunge live mkajua simuungi mkono sema i am political ignorant sitaki kujiweka mstari wa mbele nimuaibishe boss Mange Kamanda, Kubwa la maadui. Nakaa tu huku nyuma nyuma.
Uuuuwi! Wala usimsifie masta, masta kapaukaaa, masta kafuliaaaaa, masta anaemuwekaga kwenye ramani ya wachambaji ni DIAMOND NA ZARI baaaaaasi, sasa now days amejikuta hana vichambo vipya against this pple ndio maana kapotea kama sh.ya mkoloni kule insta, ila MANGE SAWA, huyo ukimuita fundi hata me nampa credit zangu coz kila atakae amua kumchamba anachambika, lakini dougie pyeeeeeee! Tupa kuleeeee! Kuchamba amchambe DIAMOND AU ZARI ndio uwaza wake wa kujidai, na asipompost dai au zari wanafuasi wanamsaliti yuda rudisha nyuma, juzi alinichekesha anawaambia wafuasi wake ni lazima wacomment kwenye post zake, baada ya kuona post za wem a sijui kiss zinaishia comment 5-15, mpaka nilimuonea huruma kwa kweli.
 
Hahahaaa! MI SIJAKUTUKANA NIME EXPRESS REELECTION YA YOUR HABITS. BEACHES IMEKAA KAMA ADJECTIVE PALE UJUE.

I DO NOT HAVE ANY INTENTIONS OS HELPING YOU IN ANY WAY WHATSOEVER. TOO BAD I BUY MY OWN BUNDLE SO I RETAIN MY FREEDOM TO VOTE WHOEVER I WANT AND FOR BET I VOTE FOR DIMOND PLATINUMS. IKIKUUMA SANAA WAAMBIE BET WANI BLOCK! HAHAHAAAA!
Mnajiandaa kuchukua credit siku tuzo ikitua pale airport kuwa na nyinyi mlipiga kura!! Vizuri lakini maana angalau mmejifunza kutokana na makosa maana mwakajana mliaibika sana, mmehamasishana weeeee lakini 'ndoo' ikaja home.. Hahahahah

Mimi nilitamani sana muendelee kuhamasishana ili tuwaabishe tena mwaka huu.. Unajua its kinda fun proving doubters wrong!!

#hatushindwi
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!11

Mniache niko kwenye Shaaban, najiandaa na Ramadhan. Tusi lolote utalo nitukana nakujibu kabisaa BABA YAKO MZAZI. Nchi huru hii sijakutumia invitation uje usome.


BACK TO TOPIC!

Hahahaaa Rich Mavokoooooooooo, rich weweeeeee mzeee wa MARRY ME, nikupeleke kwa Mama Richard kweli wa kukaa lebel moja na watoto wa jana kina Harmo ushuziii (Dogo nilikuwa namkubali huyuu ila alivonitokaaa kama mshipi.) na yule dogo Talentless kabisaa hata jina simjui. Hata wimbo wake mmoja siujui. KWELIIIIIIIIIIIIIIIII! Gerra out of here!

Rich ulikuwa unapambanishwa na Dimond enzi hizo na unampeleka peleka ipasavyo, namna gani mtoto wa mama Richard? Namna gani. Kabisaaaaaa umesign WCB. Duuu aiseeeeeeeeeee! Bora ungekufa na tai shingoni kama Blue Byser, Shetta Shettani, na Baraka Da Prince usiwe na management uwe tu huru.

Au bora ungeenda kusign kwa Petit man, mara laki tano maana yule meneja tu na sio msaniii kama domo. Tseeee tseeeee tseeeee RICHHHHHHH!!!!!!! MAVOKALIIIIIIII???????? Heeeeeeeeeeeeyyyyy Chinekeeeeeeeeeeeeeee! Mara 100 ungeenda kusign kwa Bob Junior. Umeona Ali Kiba alilost kabisaaaa kwa lile jibibi kijana ila kajizoaaa zoaaa si huyo karudiiii.

Anyway, Rich wewe ni wangu, mi nangoja hio 2 nd June nikuonee, nione na huko WCB huenda uka surpass my expectation which to be honest i dont have any. Sijuiiiiiiiiiiiiii kwa kweli. Nisiongee sana maana heshma kidogo niliobakiza kwako ni ya kazi zako za nyuma, mkubwa ulieleweka sanaa enzi hizo, wacha ningoje hio 2nd June.

Afu WCB mbona kama MMEPANIC HIV? Kila siku wimbooo, kila siku wimbooo. Huyo dogo talentless huo wimbo mlioachia juzi hata sijausikiza nasikia mnatoa tena wa Mavoko, mzazi mavoko sababi alisomeka kitambo hiko nitausikiliza, sijakaa vizuri nasikia Mzee wa Katapult kijana wa The Don himself, Don Jazzy, Koredo Bello sijui nimepatia maana kiukweli sijawahi kumuelwa mara mia angefanya collabo na baba Gigy Money Alihaji Techno, Nasikia Harmo ushuzi ndo anaachia nae kigoma, Hahahaaa! Na Paka wa kufugwa kaenda kufanya wimbo na vizee vilivochuja Psquare. Hahahaaaaa!

Niko hapa kutoa review zangu ila so far AJE umeleta noma sanaa huko WCB.
Akanana mimi nakusalimu tuu..
1464668436477.jpg
 
Unajaribu kusema huna team but it is all over your face kua una team. Ss matusi ya harmonise yakakufanye ushindwe kumpigia kura diamond wtf. Hakuna m2 acyependa ki2 kizuri ndio maana ata kny kutafta kazi ukipata 3 tofaut cha kwanza ni maslahi. Muache mavoco akapige kaz wcb. Km kapangiwa kuangyka ataanguka lkn co kwa mineno yako.
 
Hivi na wana JF nao wanatafutaga Kick ili nao wawe on air
 
igweeeeeeeeeeee Dada lala 1 umepasua jipu pwaaaaa , hivi ishu ya AY kujiunga WCB imeishia wapi?
 
Kwa pumba hiz nan atathubutu soma blog? Huyu toka kitambo nlishamweleza n mwepes sana sema njaa ndo inamfanya ajikute mgumu anaforce king[emoji23][emoji23]
Kwani lara1 anayo blog? Ni ipi mkuu?
 
Mmmh kwakweli cjapata ona mwanaume kama huyu...pole sana ni neno pekee lililobakia
 
Unajaribu kusema huna team but it is all over your face kua una team. Ss matusi ya harmonise yakakufanye ushindwe kumpigia kura diamond wtf. Hakuna m2 acyependa ki2 kizuri ndio maana ata kny kutafta kazi ukipata 3 tofaut cha kwanza ni maslahi. Muache mavoco akapige kaz wcb. Km kapangiwa kuangyka ataanguka lkn co kwa mineno yako.
Weweeeeeeeeee mimi sina mtoto ujue, Harmonise alivo tutukana wagumba uliona jojo sanaaa eeeh? Mimi yale matusi yake yalinuma sanaa kama mwanamke nikasema sio kesi kama ana management nzimaaa na hajaomba msamaha BAAAAAAAAAAS. Uzuri for ONCE Salam kampa ushauri sahihi, na wanawake wagumba Tz tumemsamehe na tumeyaweka pembeni.
 
Mmmh kwakweli cjapata ona mwanaume kama huyu...pole sana ni neno pekee lililobakia
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA! Mwanaume kama mimi tena? Makubwaaaa! Nashukuru kama nondo zangu zimeniqualify nyinyi vidume kunipokea kwenye meza yenu na kukubali mimi level moja na nyie hata kama sikojoi nimesimama sina budi kusema SANTEEEEEEEEE.
 
Kwa pumba hiz nan atathubutu soma blog? Huyu toka kitambo nlishamweleza n mwepes sana sema njaa ndo inamfanya ajikute mgumu anaforce king[emoji23][emoji23]

nA KINGI NIMEIPATA CHEZEA MIE, NA BUSARA ZAKO UKASOMA MSTARI KWA MSTARI NA KU COMMENT JUUUUUUU! HAINAGAAAAAAAAAA USHEMJIIIIIIII WANASEMAGA HAINAGA USHEMEJIIIIIIIIII SANTEEEEEEE SANTE SANAAA LE INTELIGENT KWA KUCHANGIA.
 
Kiboko
HAHAHAAAAAAAAAAAA! TOO BAD YOU CAN TELL ME NOTHING! NARUDI TENA HIZI AMRI AMRI HIZI MUWAPE WAKE ZENU MNAOWAPA KUNYA HAPA MJINI.
Hata kama kuku mgeni mjini hakosi kamba mguuni embu google tu Rich Maoko vs Dimond Platnums uone wamepambanishwa BATTLE NGAPI hapa mjini na Rich alishinda ngapi. Rich punguza njaaa kijana wewe sio wa kwenda ku sign WCB. MARA 10000000000 UNEOMBA COLLABO, LOOOOOH, MASKINI MAMA RICHARD.
 
igweeeeeeeeeeee Dada lala 1 umepasua jipu pwaaaaa , hivi ishu ya AY kujiunga WCB imeishia wapi?

HAAHAHAAAAAAAAAA! NI KAZI CHAFU ILA ILIKUWA LAZIMA MTU AIFANYE. AY KUJIUNGA WCB NI SAWA NA DRE KUJIUNGA NA YOUNG MONEY AU SNOOPY KUSIGN CASH MONEY. HAHAHAAAAAAAA! AY anangoja billions za Tigo.
 
Lara1 utakuwa na chuki binafsi na domo tu, kama amekutosa kwenye ufalme wake kaushia tu, sio kila siku utoke mapovu kwa ajili yake
HAHAHAAAAAAAAAAAA! SASA HAPA KWENYE MADA YA MAVOKO DOMO KAINGIAJE? MIMI I CARE ABOUT RICH NDO MAANA NIMEKUBALI MNICHAMBE WIMA WIMA
 
Back
Top Bottom