Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Yeye nani sasa wakati ni mimi, kwani watu mbona kama mmevurugwa sana ni hili jua kali au? [emoji3]Yeye kasema jamaa KWA sasa ayupo sawa hata kwenye wimbo wake wa lonely ndo nikamwambia huo wimbo anazungumzia career yake mwanzoni kabisa na hazungumzii maisha yake ya sasa
Nimewaza hiviKivuko kipya ni billion 8
Kukarabati ni billion 7
thankyuuu.
Selena alipost video akisema amefanya kazi kuzitengeneza nyusi zake maana ni chache, dakika chache baadae Kyle akapost screenshot aki face time na Hailey na hiyo picha inaonesha wamejizoom nyusi zao yaan kumchokoza Selena kua wao hawatumii nguvu kutengeneza nyusi wanazo nyingi,Hilo sakata sijui ilikuwaje kyle na selena na hailey?
Selena alipost video akisema amefanya kazi kuzitengeneza nyusi zake maana ni chache, dakika chache baadae Kyle akapost screenshot aki face time na Hailey na hiyo picha inaonesha wamejizoom nyusi zao yaan kumchokoza Selena kua wao hawatumii nguvu kutengeneza nyusi wanazo nyingi,
Fans wakacharuka na kuanza kuwatukana kwa uchokozi wao wakaenda mbali zaidi na kuanza kum unfollow Kyle tiktok hadi Insta, kama huko insta Kyle kapoteza followers milion moja,
Lakini Kyle amesema hajafanya lolote na hana bifu na Selena kilichotokea ni coincidence tu sababu hakuiona post ya Selena ya nyusi, na Selena amesema hata yeye yupo cool ila ametangaza kujipa break kwenye Mitandao yote ya kijamii.
Aaah hao washamba tu, madude ni ya porini tu hakuna celebrity nchi zenye utamkuta na hilo chuma, hata Dubai hapo utayakuta kule jangwani ndio kazi yake desert safaris huko down town utaona RR,porsche,lambos na wenzie[emoji23][emoji23] Unatafuta ugomvi na team Toyota
[emoji3][emoji3][emoji3]alienda kutafuta mganga wa kumsafisha nyota[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
baada ya kulala na Mobeto madili yote yalikata
haijalishi hata ukiwa 1 sec man. Kikubwa ufike mshindo na uingie kwenye takwimu ya kumlala muhusika.Aisee kumbe bora ata mie ni 2 minute man🤣🤣🤣🤣🤣
hili nalo neno, cha msingi mwnawane umepata fursa ya kuzama tundunihaijalishi hata ukiwa 1 sec man. Kikubwa ufike mshindo na uingie kwenye takwimu ya kumlala muhusika.
Akihesabu kapitiwa na wangapi haangalii waliotumia muda gani kukojoa bali waliochomeka mzigo tunduni.
basi, mengine nakshi nakshi tu.hili nalo neno, cha msingi mwnawane umepata fursa ya kuzama tunduni
Hutaki tena ualimu?Daaah aisee, sasa si aniweke shamba boy hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Filimansoni..
Sasa vyumba 109 ni hotel au nyumba ya kuishi familia?
Isije kuwa mambo ya kuchukua figo na ubongo hukoHata naelewa basi,
Yeye alipost tu video akiwa huko na crew yake wana waenjoy wanavijiji huku wanamwaga mijihela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yule alipigwa nao kwenye siti ya nyuma ya gari kama askari mpemba tu.
Hana hadhi ya kupelekwa nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alienda kutafuta mganga wa kumsafisha nyota[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
baada ya kulala na Mobeto madili yote yalikata