Tetesi: Ridhiwan Kikwete, Freeman Mbowe, Halima Mdee, miongoni mwa wadaiwa Twiga Bancorp

Umekuwa jasiri wa kutaja wadiwa sugu wa benki ya Bancorp lakini umekomea kwa watoto wa kambo hao wawili, na vipi wale nyumba kubwa ni wa ngapi na wanadaiwa kiasi gani ili uwe mkweli ??!!.
 
Hii haiwezi kuwa kweli. Sasa hivi Mbowe na Mdee wangekuwa mahakamani kuzuia mali zao zisitaifishwe.
 
[emoji23] [emoji23] walituambia vitaru vya gesi walipewa wachina kwa ajili ya Ridhiwan.
Sasa mtu ana vitalu na bomba LA gesi aligawana pasu kwa pasu na contractor yaani alipata 1 Billion US $ leo hii benki uchwara inamfilisi
 
Hahahaha Mbona Mimi nilishalipa lakini naona jina langu lipo kwa wadaiwa. Shame for those prepared
 
Hahahahahaaaaaaa! Aiseeeeee! Mbowe atajinyonga mwaka huu. Maana deni la NHC hajalipa linaibuka la Twiga! Kweli mwaka wa hasara huu
Dah.. billion 7 kitu gani kwa mwenyekiti bana...[emoji13] [emoji13]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawa watu wa ajabu sana. Mkuu una taarifa zozote juu ya lile deni la mwenyekiti?
Mbowe NSSF wakimgusa utasikia wananionea kwasababu ya msimamo wangu kisiasa na nao wanaunga mkono
 
Hiyo bank ni halali yao kufirisika kama wanamkopesha mtu mmoja 7 billion hawa jielewi!!!!
 
Kila mtu akiandika na kusema 'TAARIFA KAMILI NILIZO NAZO' nadhani michango itakuwa na hukumu zisizo za haki.
Weka ambatanisho la ushahidi wa orodha ya wadaiwa, baraua ya wito wa kulipa deni, or any related evidence.

KADA
 
Huyo fisadi mdogo afilisiwe tu maana hakuna namna nyingine...tumechoka.
 
naona kundi la nyuki waliojaa kwenye kiroba chenye pilipili kichaa limetupwa hapo lumumba


Ahh hacha mzaa wako wewe, nyuki katika ilo gunia lenye pilipili kibiolojia tu lazima watakufa, usithubutu mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…