Ndio maana JPM wana siasa hawakaa kuja kumpenda. Maana anawaumbua mchana kweupe wafuate taratibu...JPM hana tatizo na watu ila watu hasa hawa wanaojiita na kujinadi ni wazalendo, wameidhulumu sana nchi hii...time will tellDuh safari hii Mh. Mbowe atauza mpaka miwani. Maana Lowasa angekuwa ndiye rais wala tusingesikia hizi habari, na ndiyo maana akina Mbowe walitaka Lowasa awe rais ili wafiche dhambi zao, ila Mungu ni Mwema.
Mbowe yuko Mikoani -kujenga chama,je ndiko anakohaha kusaka fedha za kuokoa Mali zake?Awali Rais wangu John Pombe Magufuli aliposema kuwa kuna wanasiasa wanaongea sana ilhali ni wadaiwa sugu kwenye mabenki hakika sikuelewa. Ila kadri siku zinavyoenda, inazidi kudhihiri kuwa hakika maneno ya Rais wetu ni kweli kabisa.
Taarifa rasmi nilizonazo ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ni miongoni mwa watu waliochangia kufilisika kwa Benki hiyo. Taarifa hizo zinasema kuwa Freeman Mbowe peke yake anadaiwa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni saba hii ikijumuisha mkopo wenyewe na riba. Taarifa hizo zinasema kuwa kwa sasa Freeman Mbowe anahaha kuhakikisha anapata fedha za kulipa deni hilo ili kunusuru mali anazomiliki.
Taarifa hizo pia zinasema kuwa Halima Mdee alikopa Twiga Bancorp Juni 2011 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ghorofa mbili ambalo hata hivyo halijafahamika liko wapi. Kwamba, Halima Mdee alikopa shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya mradi huo deni ambalo mpaka sasa halijalipwa.
Niwasihi tu wale ndugu zangu wakopaji, dawa ya deni ni kulipa. Basi. Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya kukwepa ulimbo.
Walio ithulumu hii nchi ni pamoja nayeye na wengi waliomzunguka na anaokaanao meza mojaNdio maana JPM wana siasa hawakaa kuja kumpenda. Maana anawaumbua mchana kweupe wafuate taratibu...JPM hana tatizo na watu ila watu hasa hawa wanaojiita na kujinadi ni wazalendo, wameidhulumu sana nchi hii...time will tell
Hilo povu tuu, kuprempt ya riz, hiyo benki Ni ya ccmAwali Rais wangu John Pombe Magufuli aliposema kuwa kuna wanasiasa wanaongea sana ilhali ni wadaiwa sugu kwenye mabenki hakika sikuelewa. Ila kadri siku zinavyoenda, inazidi kudhihiri kuwa hakika maneno ya Rais wetu ni kweli kabisa.
Taarifa rasmi nilizonazo ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge wa Kawe Halima Mdee ni miongoni mwa watu waliochangia kufilisika kwa Benki hiyo. Taarifa hizo zinasema kuwa Freeman Mbowe peke yake anadaiwa mkopo wenye thamani ya shilingi bilioni saba hii ikijumuisha mkopo wenyewe na riba. Taarifa hizo zinasema kuwa kwa sasa Freeman Mbowe anahaha kuhakikisha anapata fedha za kulipa deni hilo ili kunusuru mali anazomiliki.
Taarifa hizo pia zinasema kuwa Halima Mdee alikopa Twiga Bancorp Juni 2011 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la Ghorofa mbili ambalo hata hivyo halijafahamika liko wapi. Kwamba, Halima Mdee alikopa shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya mradi huo deni ambalo mpaka sasa halijalipwa.
Niwasihi tu wale ndugu zangu wakopaji, dawa ya deni ni kulipa. Basi. Kuruka ruka haijawahi kuwa dawa ya kukwepa ulimbo.
Akafanye kazi nyingine..hakuna msalia mtume wala adhana...kichwa kimeelekea kibraAlikuwa anapiga nao dili anatamba kitaa, sasa wameishiwa mafungu, wamemgeuka anapiga ndulu
Ni kweli "haijajitosheleza" Kuna Makaburi Magu hawezi yafukua kamwe subiri uone kama anaweza!Taarifa haijajitosheleza
Kwani Ridhiwan alikuwa na kiwanda cha kufyatua noti, alikuwa akitumia ujanja ujanja huu wa kukopa kwenye mabenki bila kulipa.Ridhiwan huyu ndie yupi wakuu yule mliesema anamiliki masheli na kupitisha mizigo bure bandarini? Sio yule mukiemuita mwana mfalme kwamba yeye na baba ake wameliibia taifa? Kwa utajiei ule kweli wa kudaiwa na vibank uchwara au ndio zilikua propaganda zenu tu Bavicha?
Au kwa kuwa Riz katajwa [emoji12] [emoji12]Taarifa haijajitosheleza
Kunywa maji ya Kilimanjaro ndo kuisoma nambashigongo alipewa maji ya kunywa na mama meghji apunguze uchungu,hivi jamani uchungu wa hela unapozwa kwa maji ya kilimanjaro?
tutoshelezee wewe.Taarifa haijajitosheleza