Ridhiwani Kikwete: Asilimia kubwa ya waandishi wa Habari ni makanjanja

Kajanja mmoja awashambulia wengine kwa ukajanja.
 
Hivi huyu anajua babake anajiita degree holder wa uchumi alipata gpa ya ngapi kule UDSM? Mbona riz huzungumzi kwa nini ulifeli masters degree yako kule YALE ? Kaa kimya mdogo wangu utavuliwa suruali
 

Ndio tabia ya watu wa pwani ilivo
 

Sasa anawalenga waandishi wa Habari Leo,Jambo leo, na uhuru au wengine?, maana magazeti hayo siku hizi ni mipasho tu na kuandika mambo na naelekezo kutoka lumumba
 
Amewapa za kichwa HABARI LEO, JAMBO LEO, TBC, UHURU,TAZAMA na RADIO UHURU.Hawatakaa wasahau.
 
Ni kweli kawaambia na yeye hawakumbeba bali he spent his own money kuwanunua .So aliwanunua kufanyia ukanjanja akapata ubunge now anawapa kweli when the time comes again he will buy them and life goes on .
 

- Saafi sana balck and white kuna waandishi mimi nawaona hapa mjini kila siku ni aibu tupu, ukikutana nao kazi kuomba hela tu wabadilike huu ni ukweli mtupu tena mimi naweza kuwataja hata kwa majina kazi kuharibu fani ya uandishi hapa mjini, wewe tizama gazeti la Mwananchi yaani CCM haijawahi kufanya zuri hata moja ila Chadema na UKAWA tu kwao ndio wazuri, as if wote ni wajinga waliposhindwa kulinunua gazeti la Jambo Leo kama hayo mengine wakadai Mmiliki wake ni Rdihiwani na wauza unga, tunawajua sana ujumbe kama huu mbadilike sasa!!

Le Mutuz
 
Kipimo cha ukanjanja ni kipi? Riz1 umewatumia kama Shonza na Ccm na kuwabwaga puu kama gunia la mashudu. Kanjanja na porojo ziko Uhuru, tazama, kiu na Gazeti la vita (Jambo Leo)
 
Tulia kijana hii dunia haijasimama inazunguka acha machepele!!!! Unakumbuka yaliyotokea kwa kile kizazi cha SADDAM HUSEIN, GHADAF na wengineo???!!! hata wao walianza hivi hivi na leo jiulize wako wapi??!! sio lazima baba akiwa mwanasiasa na wewe upitie njia hiyo hiyo tena mbaya zaidi kwa ubadhirifu mkubwa wa mali ya umma hadi jamii yote inastuka!!!!! ingekuwa Tanzania ni nchi ya kifalme at least ungeweza hata kufanya unayofanya ila sio hivyo mkuu!!!! watch out!!!!!
 

Lakini kichwa cha habari kwenye source ya habari hii kutoka gazeti la nipashe ni kwamba huyu Ridhiwan hana shukrani, kwamba anapohitaji waandishi wa habari anawajali na akishatumia anawageuka. Wanasiasa wenyewe wako hivi wanapowahitaji waandishi wa habari huwakimbilia kwa kuwahonga wakiwa mikononi wameshika bahasha za kaki, na wakishafanikiwa malengo yao kupitia migongo ya wanahabari huwageuka na kuwadhihaki. Je kuna ukweli W. J. Malecela?
 
Anayewaponda waandishi mwenyewe ni kanjanja.Nashangaa sana.


Huu ndo ukanjanja wenyewe, elimu ya Riz1 inatosha sana shehe wangu, yeye siyo wa kwanza kuuponda uandishi wa habari wa kitanzania. Nakumbuka Mkapa baada ya kuhojiwa na Khan wa CNN alipokuwa Rais aliwahi kusema hayahaya na leo say baada ya miaka 14 or so, bado ukanjanja upo. Waandishi na taasisi zenu MJISAHIHISHE.
 
Amesema ukweli lkn hatutaki kukubali. Asilimia kubwa ya habari za kuvutia huwa za kupikwa.
 
Ni kweli ni makanjanja ila asisahau pia nchi pia inaongozwa na rais kanjanja kuwahi kutokea na mtoto wa kanjanja ni kanjanja pia.
 
Atuambie kwanza kama ameacha kusafirisha madawa ya kulevya. Vinginevyo naye ni kanjanja nguli.
ndo jambo la msingi wakiambiwa ukweli wanaona waandishi wa habari hawafai ni ujinga wa kifikra huo
 
Waandishi walioenda kwenye huu mkutano nao ni makanjanja pia.. si ndio? Kuna mambo ya maana kureport kuliko haya ya RIZ1
 
Ridhiwani alisema Watanzania jambo kubwa wanalolihitaji ni amani na kwamba wasomi watambue kuwa nchi ipo mahali pazuri sana na amani inazidi kutawala tofauti na inavyoripotiwa na magazeti.

Hiyo amani wakati umaskini unaongozeka.......iko siku itatoweka tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…