The Hurricane
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 760
- 1,048
we jiulize kwanini kila mtu anamyooshea yeye kidole..kuna tatizo sehemu flaniTatizo La Rizone ni upole aliorithi Kwa Baba Yake Mzee Kikwete..
Kukaa kwake kimya mnataka mfanye ndio udhaifu wa kumtuhumu kwa tuhuma za kizushi...
Mkiambiwa mtoe ushahidi wa kwamba anauza madawa ya kulevya,mtatoa.???
Tunampinga Makonda Kwa Aproach Yake Ya kubahatisha na nyie mnafanya hivyohvyo..
acha kupotosha riz kazaliwa 1980 lake oil imeanza miaka ya tisini,hata hivyo ujue kampuni huwa zinauzwa hata shirika la Uda ilikuwepo kabla kisena hajazaliwaHili la madawa kwa ridhiwani litapita Maana mwanzoni alisingiziwa kuwa lake oil ni yake wakati lake oil Ilikuwepo tangu anazaliwa
My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......
Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......
Halafu watanzania wanamshangilia .....
Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......
Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....
Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
Makonda amesema eti chalinze sio eneo la Dar kwa hiyo watuhumiwa wa huko hawamuhusu yeye.Kwani huyu dogo Riz hayupo katika orodha ya kijana Makonda?
Anawatajia gizani itasaidia nini makonda anawataja hadharani
My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......
Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......
Halafu watanzania wanamshangilia .....
Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......
Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....
Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
Makonda amesema eti chalinze sio eneo la Dar kwa hiyo watuhumiwa wa huko hawamuhusu yeye.
Huyu akiwekwa ndani mkuu nchi itatikisika.
HahahahahaaaMakonda amesema eti chalinze sio eneo la Dar kwa hiyo watuhumiwa wa huko hawamuhusu yeye.
Binadamu bwana akitafuta visingizio hakosi, mume anakwambia hajisikii kula kumbe anajua fika kuwa anaandaliwa mahanjumati kwa mchepuko.Hahahahahaaa
Hiyo kazi kamuachia mkuu wa mkoa wa Pwani
Si ndio unaona hata hapo kwenyw bango la Riz ameandika Dar es salaam kwa juu kabsa.
Anatukumbisha kuwa yeye hayuko huku.
Ndiyo ilikuwa nia yake, amefanikiwa.vita imevurugwa na mwanzisha vita mwenyewe.
Wewe nae njaa itakuuaSasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
Anataja watu anaofikili ni mapapa alafu ushahidi hana kwa mfano tumeona Kwa Gwajima, Idd azan(ingawaje sijui huyu kaponaje maana tetesi hazijaanza leo).... Ndo maana Mbowe na Bunge limeona ni harakati za kishenzi zinazoendeshwa na huyo RC that's why Ndugai kaamua kumkingia kifua MboweSasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
Kwahiyo Mbowe ni wa DSM? Kazi kweli kweliMakonda amesema eti chalinze sio eneo la Dar kwa hiyo watuhumiwa wa huko hawamuhusu yeye.