Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Tatizo La Rizone ni upole aliorithi Kwa Baba Yake Mzee Kikwete..
Kukaa kwake kimya mnataka mfanye ndio udhaifu wa kumtuhumu kwa tuhuma za kizushi...
Mkiambiwa mtoe ushahidi wa kwamba anauza madawa ya kulevya,mtatoa.???

Tunampinga Makonda Kwa Aproach Yake Ya kubahatisha na nyie mnafanya hivyohvyo..
we jiulize kwanini kila mtu anamyooshea yeye kidole..kuna tatizo sehemu flani
 
Hili la madawa kwa ridhiwani litapita Maana mwanzoni alisingiziwa kuwa lake oil ni yake wakati lake oil Ilikuwepo tangu anazaliwa
acha kupotosha riz kazaliwa 1980 lake oil imeanza miaka ya tisini,hata hivyo ujue kampuni huwa zinauzwa hata shirika la Uda ilikuwepo kabla kisena hajazaliwa
 
dd7dcdb9269e3557352d945584085ca5.jpg


My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......

Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......

Halafu watanzania wanamshangilia .....

Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......

Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....

Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........

Mbona ujumbe wa kwenye bango unapinga vuta ya madawa ya kulenya kuwa sio suluhisho la mambo ambayo mshika bango ndio anayajua.
 
Anawatajia gizani itasaidia nini makonda anawataja hadharani

Mh.Makonda ni RC na zaidi ya RC kwa sasa
anayo hadhara ya kuzungumzia .
Hii vita ni ya Watanzania wote.
Je mimi na wewe tusio na nafasi kama za Makonda haturuhusiwi kawataja wenye biashara hizo hata kama tunawajua?
 
dd7dcdb9269e3557352d945584085ca5.jpg


My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......

Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......

Halafu watanzania wanamshangilia .....

Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......

Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....

Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........

Akitajwa Mbowe mnataka uwepo na Ushahidi wa Kimahakama Ila akitajwa Ridhwan basi tuunge Mkono bila ya ushahidi!

Ndo Yale Yale ya List of shame,

List of shame iwe halali kumchafua Mzee Lowassa halafu ya Makonda iwe haramu kumchafua Mbowe!

Hawa Chadema asingetajwa Mbowe na Mshenga wao Gwajima basi wasingeipinga ile List ya Makonda kwa zile hoja za kisheria walizotumia kupinga!
 
Makonda amesema eti chalinze sio eneo la Dar kwa hiyo watuhumiwa wa huko hawamuhusu yeye.
Hahahahahaaa
Hiyo kazi kamuachia mkuu wa mkoa wa Pwani
Si ndio unaona hata hapo kwenyw bango la Riz ameandika Dar es salaam kwa juu kabsa.
Anatukumbisha kuwa yeye hayuko huku.
 
Hahahahahaaa
Hiyo kazi kamuachia mkuu wa mkoa wa Pwani
Si ndio unaona hata hapo kwenyw bango la Riz ameandika Dar es salaam kwa juu kabsa.
Anatukumbisha kuwa yeye hayuko huku.
Binadamu bwana akitafuta visingizio hakosi, mume anakwambia hajisikii kula kumbe anajua fika kuwa anaandaliwa mahanjumati kwa mchepuko.
 
Hujamuelewa mkuu , mapambano ndo kwanza yameanza ina maana yeye yupo upande ule unapingwa so anajiandaa kupambana na wanaomsakama.
 
Sasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
Wewe nae njaa itakuua
 
Sasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
Anataja watu anaofikili ni mapapa alafu ushahidi hana kwa mfano tumeona Kwa Gwajima, Idd azan(ingawaje sijui huyu kaponaje maana tetesi hazijaanza leo).... Ndo maana Mbowe na Bunge limeona ni harakati za kishenzi zinazoendeshwa na huyo RC that's why Ndugai kaamua kumkingia kifua Mbowe
 
Where is president Duterte when you need him? Hawa wanafiki hawa kwa Duterte wote shaba tu...
 
Hii ni sinema tena levo ya kirikuu. Watu wamezidiana ktk masoko sasa wanawapunguza wanyonge ili wabaki wababe watawale soko kibiashara kuuwa watoto wa wanyonge huku maisha yao yakisonga mbele basi.
 
Back
Top Bottom