kobokocastory
JF-Expert Member
- Aug 30, 2014
- 1,076
- 1,270
Usiseme mikataba mkuu...Hivi yule aliyekamatiwagwa China wakandikishiana mikataba na Mzee ili kuuwa soo ni nani vile!!! Eti mzee alipanda pipa fasta
kwa nni nchi itikisike mkuu ?Huyu akiwekwa ndani mkuu nchi itatikisika.
Yani wewe lumumba umemuona Mbowe tuAkitajwa Mbowe mnataka uwepo na Ushahidi wa Kimahakama Ila akitajwa Ridhwan basi tuunge Mkono bila ya ushahidi!
Ndo Yale Yale ya List of shame,
List of shame iwe halali kumchafua Mzee Lowassa halafu ya Makonda iwe haramu kumchafua Mbowe!
Hawa Chadema asingetajwa Mbowe na Mshenga wao Gwajima basi wasingeipinga ile List ya Makonda kwa zile hoja za kisheria walizotumia kupinga!
Yani wewe lumumba umemuona Mbowe tu
JK aliambiwa na JPM atalindwa yy na familia yakeHuyu akiwekwa ndani mkuu nchi itatikisika.
kwa hapo wabongo mmewaweza sio kwa kupakazia hadi wachungaji uku wakina riz wanadunda ila mwisho wa ubaya unakuwaga ni aibu tuSasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
Angalau kuna alienielewa, asante mkuu.JK aliambiwa na JPM atalindwa yy na familia yake
Kwa hiyo Mbowe ana mamlaka naye ndiyo maana kamuita.?Makonda amesema eti chalinze sio eneo la Dar kwa hiyo watuhumiwa wa huko hawamuhusu yeye.
uongoHivi yule aliyekamatiwagwa China wakandikishiana mikataba na Mzee ili kuuwa soo ni nani vile!!! Eti mzee alipanda pipa fasta
Hahaha sijakuelewa mkuu, hebu shuka angalau tupate kuelewa.Hivi yule aliyekamatiwagwa China wakandikishiana mikataba na Mzee ili kuuwa soo ni nani vile!!! Eti mzee alipanda pipa fasta
Wakati huo alikuwepo mshua jumba jeupe.Nani mwenye ubavu wa kumshughulikia kama Wachina walishindwa
Jua litasimamaHuyu akiwekwa ndani mkuu nchi itatikisika.