Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Hivi yule aliyekamatiwagwa China wakandikishiana mikataba na Mzee ili kuuwa soo ni nani vile!!! Eti mzee alipanda pipa fasta
Usiseme mikataba mkuu...
Sema MIKATABA KUMI NA TISA (19) ndio italeta ladha
 
Yani wewe lumumba umemuona Mbowe tu
 
Yani wewe lumumba umemuona Mbowe tu

Mbowe haogopi kuwekwa Mahabusu anaogopa Kupelekwa kwa Mkemia kupimwa Damu kuhusu Matumizi ya Madawa na hasa Bhangi!

Kwa Wazee wenzangu Enzi hizo tukiita Mbowe Club ikiwa na uzio wa Magunia na Freeman Akiwa kijana sana tunakumbuka Mengi sana.

Ismael Aden Rage atakuwa anacheka sana akikumbuka ya 1980-1982 na Mbowe kukacha kwenda kwa Mkemia Kupima damu kuhusu Matumizi ya Dawa za kulevya!
 
kwa hapo wabongo mmewaweza sio kwa kupakazia hadi wachungaji uku wakina riz wanadunda ila mwisho wa ubaya unakuwaga ni aibu tu
 
Hebu mwambieni Ridhiwani awe serious jamani hatuitaji maigizo yeye kama anataka ajitaje aseme tu
 
Sitaki kuamini kama mkuu wetu wa mkoa anamuogopa huyu mbunge.

Bila shaka kwenye list ya tatu atatajwa.

Tuwe na subiri.
 
Hivi yule aliyekamatiwagwa China wakandikishiana mikataba na Mzee ili kuuwa soo ni nani vile!!! Eti mzee alipanda pipa fasta
Hahaha sijakuelewa mkuu, hebu shuka angalau tupate kuelewa.
 
Nani mwenye ubavu wa kumshughulikia kama Wachina walishindwa
 


SAFI SANA, TUPAMBANE PAMOJA, NASHANGAA HAUPO KWENYE LIST NDUGU RIZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…