Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Ni mwendelezo wa kupambana na MADAWA ya kulevya, ndugu Ridhiwani kikwete ameunga juhudi zinazofanywa na Paul makonda kutokomeza biashara haramu ya MADAWA ya kulevya. Ni wakati sasa wabunge wakaiga mfano wa huyu mbunge katika vita ya madawa ya kulevya. Pongezi kwako mheshimiwa kwa kuunga mkono juhudi Kali ya kupinga mihadarati

Jukumu la kutokomeza biashara hii ni la watanzania wote.
d14e1062c51e299f4e7806e18f8a6cdc.jpg

Je, Ridhiwani ni kweli anaunga mkono au anajisafisha tu kutokana na kutajwa kwake mara kwa mara kwenye madawa ya kulevya?.
54a31e1fb5eaf640d6eb4f00cb024f15.jpg
.
Tujadili pamoja. Karibu
Nimeelewa kwa nini Waziri wa Mambo ya Ndani anaupotezea huu mchezo. Kumbe nae ameshawahi kutajwa
Son of Tanzania President named as Drug Lord by an inmate in a Hong Kong prison
 
dd7dcdb9269e3557352d945584085ca5.jpg


My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......

Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......

Halafu watanzania wanamshangilia .....

Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......

Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....

Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
 
dd7dcdb9269e3557352d945584085ca5.jpg


My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......

Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......

Halafu watanzania wanamshangilia .....

Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......

Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....

Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........


Sasa kwa nini unampekua pekua na kumfwata fwata?
 
dd7dcdb9269e3557352d945584085ca5.jpg


My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......

Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......

Halafu watanzania wanamshangilia .....

Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......

Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....

Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
Kama nayeye anafanya biashara hiyo atashughulikiwa tu
 
Sasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
 
Kuna bwana mmoja akizungumza/kuhutubia University aliwahi kusema kwa mwenzie kuwa sita kugusa na ukae kwa amani kabisa, nadhani alimaanisha na kwa familia yake pia
 
Tatizo La Rizone ni upole aliorithi Kwa Baba Yake Mzee Kikwete..
Kukaa kwake kimya mnataka mfanye ndio udhaifu wa kumtuhumu kwa tuhuma za kizushi...
Mkiambiwa mtoe ushahidi wa kwamba anauza madawa ya kulevya,mtatoa.???

Tunampinga Makonda Kwa Aproach Yake Ya kubahatisha na nyie mnafanya hivyohvyo..
 
"Haki Huinua Taifa Lakini Dhambi Ni Aibu Kwa Watu Wote"

Haki Itendeke Na Ionekane Imetendeka Wazi
 
Back
Top Bottom