TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Uhusiano na MakondaLawama iko wapi?
Kwani kila MTU aliyekinyume na Bashite na Kasoje ni Chadema?Kwa hiyo Chadema tunakubaliana kwamba Ridhiwan hauzi unga? Maana sasa kila mtu tunamsafisha hahahahah haya bhana.
Ndo nmekuuliza hao waganga wake wa kutoka kasai huko DRC anaowatumia makonda kujizindika ndio unasema anaendesha VITA YA MUNGU!! mkuu uwe careful na kinywa chako utakuja kujizolea laana hivi hivi kisa ushabiki wa kisiasa...... yaani jitu linafanya uharamia wa clouds eti tukihoji mnasema wauza unga ndo wanamuandama!! really?? kwani walimlazimisha aende??? vita ya madawa inahusiana nni na yye kuvamia ofisi za habariNi Ya Mungu and time will tell! Walitaka kuuza nchi hao! Mwenye Enzi Mungu akatunusuru! If you don't see that big picture, umeamua mwenyewe!
Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Ridhiwani alimtaja ili kuwaridhishwa wana nchi ambao walikuwa wanalalamika sana ila alionyesha uoga toka mwanzo ila kamuharibia mwenzakeBashite hana elimu ya mtaani (namna ya kuishi na watu vizuri) wala elimu ya darasani ndio hiyo kapata maFs .Yeye anadhani Kasoje ataendelea kumkingia kifua Siku zote au ataendelea kukaa jengo jeupe siku zote?Hajui kuna Leo na kesho?
Hata wangemkamata na kete wangefanya nini unadhani watu wanafiki sana magambaUhusiano na Makonda
Kuhusu uhusiano wake na Makonda alisema haujabadilika baada ya jina lake kuwamo katika orodha yake, lakini anamwachia Mungu kama alitajwa kwa hila.
Alisema pamoja na kuhojiwa kuhusu kashfa hiyo, amefurahi kuwa angalau sasa ukweli umejulikana.
----------
mwisho wa nukuu.
Eti kikwete kashtuka kama alikuwa hajui kituWangemwacha China tu huyo!
Mwisho utabaki peke yako kwenye chama, maana kila mmoja unamtuhumuNayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
MFUGA NYOKA, HUGONGWA NA NYOKA ALIYEMFUGA....
Dar es Salaam. Baada ya kuitwa kuhojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika na biashara ya dawa za kulevya, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete amesema taarifa hizo zilitingisha familia yake, lakini baba yake Jakaya Kikwete alimtia moyo.
Tofauti na watuhumiwa wengine waliohojiwa kuhusu matumizi na biashara ya dawa za kulevya, Ridhiwani hakutangazwa hadharani badala yake aliitwa kimyakimya na kuhojiwa na baadaye kuruhusiwa aendelee na shughuli zake baada ya kuonekana hana hatia.
Katika mahojiano maalumu na Mwananchi Digital yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, Ridhiwani amesema JK hakushtushwa na badala yake alimpa nguvu ya kwenda kueleza ukweli .
“Pengine aliamua kuficha hofu yake ili kunitia nguvu,” amesema Ridhiwani.
Alikuepo kwene majina yale ya mwisho 97 aliekabdh kwa commisionerKwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
kwenye orodha ambayo hakuisoma ila ameikabidhi tume.Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Unafikiri kwa mtindo huu Rizone hawezi pita tena VIP airport bila kusachiwa hats kama anayo diplomatic passport!Ridhiwani alimtaja ili kuwaridhishwa wana nchi ambao walikuwa wanalalamika sana ila alionyesha uoga toka mwanzo ila kamuharibia mwenzake
Dar es Salaam. Baada ya kuitwa kuhojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika na biashara ya dawa za kulevya, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete amesema taarifa hizo zilitingisha familia yake, lakini baba yake Jakaya Kikwete alimtia moyo.
Tofauti na watuhumiwa wengine waliohojiwa kuhusu matumizi na biashara ya dawa za kulevya, Ridhiwani hakutangazwa hadharani badala yake aliitwa kimyakimya na kuhojiwa na baadaye kuruhusiwa aendelee na shughuli zake baada ya kuonekana hana hatia.
Katika mahojiano maalumu na Mwananchi Digital yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, Ridhiwani amesema JK hakushtushwa na badala yake alimpa nguvu ya kwenda kueleza ukweli .
“Pengine aliamua kuficha hofu yake ili kunitia nguvu,” amesema Ridhiwani.
Ridhiwani ni mwanasiasa wa Tanzania nitajie mwanasiasa wa Tanzania ambaye siyo mnafiki. Hahitaji kumlaumu Makonda maana kama asingehojiwa makonda angelalamikiwa yeye anatakiwa kumshukuru Makonda kwa kumuosha. Ridhiwani hapo alipo ana furaha kubwa sana sababu ameoshwa kama baba yake mdogo Lowasa alivyooshwa na UKAWA.Mbona aliwahi kusema roho yake ilisuuzika kwa kuhojiwa, maana hiyo ilikata mzizi wa fitina wa tuhuma? Kwa maneno mengine alihitaji sana uwepo wa Tume ya kuwaambia ukweli watanzania juu yake na tuhuma zisizokuwa na kichwa wala miguu! Sasa anamlaumu vipi Makonda?
ile orodha Makonda alimkabidhi kamishna uliisoma?? Unawajua waliotajwa mule? Usitetee kilaujinga,utakuwa mjinga sanaKwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?