TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Uhusiano na MakondaLawama iko wapi?
Kuhusu uhusiano wake na Makonda alisema haujabadilika baada ya jina lake kuwamo katika orodha yake, lakini anamwachia Mungu kama alitajwa kwa hila.
Alisema pamoja na kuhojiwa kuhusu kashfa hiyo, amefurahi kuwa angalau sasa ukweli umejulikana.
----------
mwisho wa nukuu.