Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kunguru hafugiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunguru hafugiki
ile ya kwenye bahasha?Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Awamu ya tatu alikuwepo.Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Kwa sababu,umetumia busara kuuliza nkujibu,lRidhiwan jina lke lilikuepo kwny ile orodha ya mwsho aliyojimasibu mpk watoto wa viongoz wamo ila majina hayakusomwa na orodha ya watuhumiwa ilikabidhiwa kwa commissioner wa kupambana na drigs
Alikuwepo ile orodha ya tatuKwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Nani amesema hivyo? Angalia umekalia dole lako halafu unafikiri Ni la chadema!!Kwa hiyo Chadema sasa mnaungana kusema kumbe Ridhiwan hauzi unga, mlikuwa mnamsingizia tu?
We sijui mkishumundu wa wapi ww, yaani tumkabidhi fisadi edo li nchi lote hili, kwani hatuipendi?!Mtajuana wenyewe huko ccm.
Haramu mliyoila uchaguzi mkuu ndio inawatafuna sasa.
Wenyewe kwa wenyewe hamuelewani.
Hii ndiyo inaitwa KARMA.
Jiongeze bro. Orodha ya pili yenye majina 66 ambayo Kondakta alizuiwa kuitoa jina la Ridhwani lilikuwepo.Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
walimuhisi akafatwa akaojiwaKwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Wewe na RIZI nani anajua ukweli?Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
List ya tatu ya watu 97 uliiona ndugu?Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Mbona povu linakutoka? Ulikuwa wapi wewe mnafki kwenye mambo ya Bashite, eti leo unasema kwenye orodha hakuwemo, ulikuwa unaandika nae? Acha njaa zitakuua.Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Ulitaka upewe wewe?jinsia yako inakuruhusu bali akili huna na sifa maana umekaa sana gerezani karangasasa nimeelewa kwa nini mama Salma Kikwete amepewa ubunge wa viti maalum..!
Nani amesema hivyo? Angalia umekalia dole lako halafu unafikiri Ni la chadema!!