Ridhiwani: Tumeishi na RC Makonda vizuri ila kutajwa kwenye madawa, kama familia tunamwachia Mungu

Ridhiwani: Tumeishi na RC Makonda vizuri ila kutajwa kwenye madawa, kama familia tunamwachia Mungu

Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea


Mtararuana sana mwaka huu na bado.
 
Yeye si amejieleza? haina haja ya kuendelea kukumbuka hiyo issue ya drug
 
Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Unajua wewe dada huwa kum'mayo sana wewe? Hivi umesahau kuwa kulikuwa na orodha nyingine ambayo Kamishna alizuia isisomwe hadharani? Tumia ubongo wako vizuri, hata kama kichwa lako limejaza mavi jitahidi kuya-condition yafanye kazi ya ubongo maana huna mbadala!!
 
Lakini sikweli alikuwa anatuhumiwa tena humu Jf ndiko hiyo mijadala ilitamalaki sana. Mbona tunakuwa watu wa ajabu sana
 
Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
kumbe? duh!
 
Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?
Kuna waliotajwa hadharani na wengine hawakutajwa. Waliitwa juu kwa juu.
Nadhani hata Masogange hakutajwa hadharani.
 
Kwa hiyo Chadema tunakubaliana kwamba Ridhiwan hauzi unga? Maana sasa kila mtu tunamsafisha hahahahah haya bhana.

Unajua wewe dada huwa kum'mayo sana wewe? Hivi umesahau kuwa kulikuwa na orodha nyingine ambayo Kamishna alizuia isisomwe hadharani? Tumia ubongo wako vizuri, hata kama kichwa lako limejaza mavi jitahidi kuya-condition yafanye kazi ya ubongo maana huna mbadala!!
 
Kwa tafakari tu.. Hichi ni kilio au kujilaumu..!
 
Ridhiwan mnafiki yeye juz si alikua ana Furahi, anasema a nashukuru sasa kuwa amekua huru sababu tume imemuona hauzi, alikua anaongea Miladiayo, na ata katika video ya mwananchi digital.. Gazeti linaandika wanavyotaka wao, Kwani minong'ono alianzisha makonda
We kwani ulidhani research ua unafiki ilifanyiwa mimea mkuu? Ili ni ya uhakika baba
 
Kwenye orodha ya Makonda Ridhiwani hakuwepo. Sasa hapo Makonda anaingiaje?



Bro ebu tafuta mwananchi usome au songea linafika kesho? Si kila jambo unatetea ata kama ukweli unaona unabisha kama ridhiwani hajaojiwa? Kwahiyo mwananchi n waongo mpk video za yy kukiri aliitwa zipo n bado unabisha.
 
Hivi nyie bavicha si mlikuwa mnasema jamaa anauza ngada na babake kuna mida alimwokoa uchina kwenye tundu la sindano, leo mbona hamsomeki??


Sasa Chadema inahusikaje na manung'uniko haya yaliyotamkwa na Ridhiwani?Ifike mahali muwe mnausema ukweli,si kila unapoguswa unakimbilia kuitaja chadema.Yani hata ukikalia kitu chenye ncha kali badala ya kumtaja mumeo anayekuumiza unaitaja chadema?
 
Kikubwa na kizuri tumekubaliana wote sasa kwamba Ridhiwan hauzi unga. Tusijeona ona tena mjadala kwamba Ridhiwan ni muuza unga .Vyama vyote na wananchi wote tumekubaliana ili hapa rasmi hahahahahahah raha sana.
 
Back
Top Bottom