mangia22
JF-Expert Member
- Mar 10, 2017
- 447
- 185
kwa hio ilikuwa ni mpango aitwe ili asafishwe..Ridhwani wala familia ya Rais mstaafu wasichukie kwani Ridhwani kuitwa na kuhojiwa imemaliza mzizi wa fitina dhidi yake.
Kabla hata ya Makonda watu walimzushia Ridhwani tuhuma dhidi yake lakini kama alihojiwa hiyo ni dalili ya kufuta tuhuma dhidi ya mheshimiwal