Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Binafsi nimeshangaa sana juz alifurahi sana, unafiki mbaya sanaRiz ww acha unafiki, juzi ulivyotoka kuhojiwa ulifurahi sana, na ukaandika mwenyewe mitandaoni kuwa hawakukuta ukitumia au kuuza, and you feel free.. Leo unalaumu nn? Pia rumours kuwa ww ni muuzaji wa drugs zilikuwa muda mrefu kabla hata Magu hajawa Rais... Riz unatafuta kiki kwa hili, Makonda hakukutaja, hapa
unachochea mambo, na umefanya hivyo baada ya Makonda kwenda Clouds.. But haisaidii Mh. Rais yuko makini sana